At least 13 US service members killed in Kabul airport attack

At least 13 US service members killed in Kabul airport attack

Wanaomba ulinzi kwa tali wanatia huruma
Ugaidi una uhusiano wa moja kwa mojana uislam. Hizi iman zipo zaina 3 kuna wanaoamini kawaida , kuna wa msimamo wa kati na kuna wa msimamo mkali, hawa ndo magaidai. Wewe unayeita watu makafiri upo msimamo wa kati. Na mwislam ambaye anaweza hadi kuoana na kafiri basi huyu ni msimamo wa kati. Hii ipo kwa dini zote. RC ambaye ni msimamo mkali ni mbaya sawa na gaidi. Haoni shida kuua.msabato yy hupinga kila kitu, mlokole yeue haamini kila kitu hata akiugua hatibiwi.
US Gen. McKenzie:“The attacks will continue. That includes reaching out to the Taliban who are actually providing the outer security cordon around the airfield - to make sure they know what we expect them to do is to protect us."
 
Watakwenda zao ulaya na mara hii tunageuza makanisa kuwa miskiti huko tushazaliana wengi maana erro ambayo makafiri mnafanya ni kuingilia nchi za watu mkauwa watu ndio madhara yake hayo
Imekuwaje unamjibu hivyo?
 
Kumbe malipo ni hapahapa [emoji848]
Sheikh unazungumziaje wale raia wamepanda ndege na kutaka wende kwny nchi za hao uwaitao nguruwe kwann wasbaki kwao ili wafurahie matunda ya kukombolewa nchi yao na taliban
NATO forces in #Afghanistan used "special forces 'black unit', Task Force 373, to hunt down targets for death or detention without trial” also killing “civilian men, women and children”, WikiLeaks revealed
 
Hawa Taleban wataweza kweli kuiendesha hii nchi?....achilia mbali kudumisha usalama?..

....Tuwaombee raia wema wa Afghanistan... Mungu awalinde na kuiponya nchi yao.
 
[emoji848]Taliban says explosions in Kabul are US Forces destroying equipment at Kabul Airport
 
Mbona kama kuna kamchezo wakuigiza


The new blast in Kabul was caused by [emoji631] US. forces detonating weapons and ammunition. - Al-Jazeera
 
[emoji599][emoji599] | BREAKING: The US Pentagon says they are expecting the Taliban to “protect us”
 
kuna uzi wangu nilisema watu wanakimbia dini sio nchi.

kwa nini mifumo ya dini ndio inachangia kufanya nchi kwenda kuwa na mambo ya aajabu

Marekani na vibaraka wake ndiyo chanzo cha machafuko duniani,,, na ukifatilia almost zote ni nchi za kiarabu, pa1 na Afghanistan n.k. Iran bado wanafanya kila njia waivuruge lakini wameshindwa. Na zote ni nchi za kiisilamu.

Ukiona mmatumbi anawatetea hao nguruwe ujuwe sababu za kiimani tu,,,, na sio kingine. Lakini kuna baadhi ya wakristo hawafurahishwi wanachokifanya mabeberu dhidi ya nchi za kiarabu/Kiisilamu, awa wanajitambua, na hawajipendekezi kwa mabeberu. Wabarikiwe.
 
Russia told Americans about a potential ISIS attack, a few days ago. Then, Americans acknowledged ISIS presence around Kabul airport - yet, no extra security measures were taken. Today, US military had to rely on Russian Intel to even figure out what exploded at Kabul Airport.
 
[emoji848][emoji848] kumbe hawataki maskini wanalazimishwa


Twenty-two American soldiers killed themselves today because of the media-championed wars they didn't want to fight. But US media only mentions 12 marines. Tomorrow, another 22 US soldiers will kill themselves. And the day after, and after, and after.
 
Marekani na vibaraka wake ndiyo chanzo cha machafuko duniani,,, na ukifatilia almost zote ni nchi za kiarabu, pa1 na Afghanistan n.k. Iran bado wanafanya kila njia waivuruge lakini wameshindwa. Na zote ni nchi za kiisilamu.

Ukiona mmatumbi anawatetea hao nguruwe ujuwe sababu za kiimani tu,,,, na sio kingine. Lakini kuna baadhi ya wakristo hawafurahishwi wanachokifanya mabeberu dhidi ya nchi za kiarabu/Kiisilamu, awa wanajitambua, na hawajipendekezi kwa mabeberu. Wabarikiwe.
Unataka kusema chanzo cha machafuko Afhganistan ni Marekani?!
Kasome historia yao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Walikuwa wanachapana marisasi ya kutosha hata kabla ya Marekani kwenda.
soma historia yao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Acha zako ww, walikua wanaishi vizuri tu, nchi zote sio tu hio hata Libya na Iraq kulikua fresh tu, makafiri kinachowaumiza ni dini tu wanakua hawana raha [emoji1787][emoji1787] rohombaya zimetawala ktk vifua vyenu, HAWATORIDHIKA MAYAHUDI NA MANASWARA MPAKA MFUATE MILA ZAO
Ndio maana kutwa mnawaza vita tu na pandikizi za chuki na kuwagawa watu

Yaani nyinyi ni kupora mali na chuki za kidini [emoji23]
 
Back
Top Bottom