wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Matunda ya Demokrasia ya wamarekani imeleta amani Afghanistan.Safi Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi? Kwani si walikua wanasema aondoke na ndiyo ameondoka hayo yanatokea?Lengo la mmarekani limetimia,,
Not all Muslim are terrorist but all terrorist are Muslim. Explain with vivid examples.makafiri mna tabia hiyo ya kuhusisha ugaidi wa WAislamu na uislamu, japo si wote, baadhi ambao si waelewa.
Ostadhi Kale hii kitu kwanza akili ziku kae sawamakafiri mna tabia hiyo ya kuhusisha ugaidi wa WAislamu na uislamu, japo si wote, baadhi ambao si waelewa.
Kama ilivyokuwa Iraq, Libya,Syria na sasa Afghanistan kote huko alikuta watu wanaishi kwa amani na akiondoka anaacha civil warKivipi? Kwani si walikua wanasema aondoke na ndiyo ameondoka hayo yanatokea?
Haha mu Us ameshamaliza kutega mauchawi yake, baada ya kuondoka wao vululu zitaanza verysoonNina mashaka na wale waliokuwa wakitoa tahadhari kwa watu wao eti waondoke "eapoti" kama hawajatekeleza hili jambo ili kuendelea kuwavuruga wenye nchi yao.
Of cause ni Waislamu wenzenu kwa sababu ni Waislamu. Lakini wanachokifanya siyo kitendo cha Uislamu bali kitendo kinachokinzani na mafundisho ya Kiislamu...AMANI na UPENDO.Hawa siyo waislamu wenzetu, msihusishe TALIBAN na uislamu,
Wrong, all terrorists are no Muslims. There are Christian terrorists too! Ever heard of CRUSADE.. that was Christian terrorism. Ever heard Ultra rightist, white nation etc in USA, that is christian terrorism.Not all Muslim are terrorist but all terrorist are Muslim. Explain with vivid examples.
Nakupa home work hiyo
makafiri mna tabia hiyo ya kuhusisha ugaidi wa WAislamu na uislamu, japo si wote, baadhi ambao si waelewa.
baniani m'baya kiatu chake dawa.inakuwaje tena mnadandia ndege za makafiri
makafiri mna tabia hiyo ya kuhusisha ugaidi wa WAislamu na uislamu, japo si wote, baadhi ambao si waelewa.
Lengo la mmarekani limetimia,,
Marekani aliikuta Taliban ikifanya hivi hivi inavyofanya sasa. Alichofanya ni kuwanyanganya fursa ya kutenda hivi. Kwani ndio aliwaambia wazuie wanawake kufanya kazi, kusoma?Kama ilivyokuwa Iraq, Libya,Syria na sasa Afghanistan kote huko alikuta watu wanaishi kwa amani na akiondoka anaacha civil war
Crusade sio terrorism bali response kwa kenge fulani waliolazimisha dini yao ndio iwe utamaduni kwenye maeneo waliyovamia kwa upanga. Ugaidi ni kutumia matukio dhidi ya raia wasio na hatia kwa nia ya kushawishi jambo fulani la kisiasa, crusade ilikuwa ni kupigana ana kwa ana dhidi ya wavamiziWrong, all terrorists are no Muslims. There are Christian terrorists too! Ever heard of CRUSADE.. that was Christian terrorism. Ever heard Ultra rightist, white nation etc in USA, that is christian terrorism.
Nimekuuliza ni wapi mimi nimehusisha ugaidi na uislam?makafiri mna tabia hiyo ya kuhusisha ugaidi wa WAislamu na uislamu, japo si wote, baadhi ambao si waelewa.
Hatuwezi kuwapa hapa wakazi wa Kabul mji kama Chato tufanye mji wa wakimbizi? Mbona wenzetu Uganda wamefanya.