Hakuna muda ambao umepangwa kwa mwanaume awe amefika nyumbani baada ya kutoka kwenye mihangaiko. Tena kwa wanaume wa Kiafrika ndio kabisaaaa. Again blame our society for that. It's hard to put a time limit on that. As to how long you should wait. Kama unaona limekuwa tatizo, then you should at least wait until you have a perspective on the situation and feel good about the direction your life is headed, with or without him.
But if I were you, ningechukua hili kama motivation by doing something so special at home, that next time he would want to come home early. Ikishindikana, you may also consider sitting down together and discuss the situation.The rule of thumb: NEVER ATTEMPT TO CHANGE HIM TO COME HOME EARLY BECAUSE, NEXT TIME HE MIGHT NOT EVEN COME AT ALL. Always address this in a positive way. By the way alikuwa na hii tabia hata kabla hamjaanza kukaa pamoja?