At Least One Top Scientist Agree with me!!! Women are the most mysterious creatures

Mbu wala usilalamike
wanamme wana makosa kila siku
afu haombi hata msamaha
afu The Wandering Hand Theory inaendelea kama kawaida.


...haya sasa?! ...tena ukiuma uma majibu, ati na taa anawasha halafu anakaa kitako kitandani
akuone vizuri usoni....!
 
...kuna mrembo mmoja alikuwa anashikilia besela la kitanda kabisa huku anapiga 'push up' kwa kunogewa na 'penzi' la kwenye ndoto yake, hapo hata ukimpiga ngumi aamke akuambie alikuwa anamuota nani? zero!....anajifanya anakoroma eti!
Hahaha. . . labda alikua anamuota mpenzi/mume wake bana. Ila kama unataka raha kutana na wale wanaoongeaga usingizini. . .wanaweza wakakwambia chochote bila wao kujua.

Alafu Mbu hapo kazi ni kumsoma tu mtu wako. . . kama amekaa kiSpecial intelligence/lawyer basi unakua mwangalifu na maneno yako kukwepa unnecessary "cross examinations" na investigations, kama amekaa kiShrink basi unajitahidi kuongea, kama amekaa kiSales person unajiandaa kusikiliza mpaka utakapoambiwa "haya nimemaliza".
 
Yaani kama vile mchina wuuuuu...ahaaaaa...mbona chumba kitageuka kituo cha polisi......lol

Kwasababu utakua ulikua unamsikiliza muda wote au kwasababu kagusa button ambayo ni sensitive?
 
Kwasababu utakua ulikua unamsikiliza muda wote au kwasababu kagusa button ambayo ni sensitive?
Yaani Lizzy haya mambo yaache tu inaweza kuwa ndoto lakini kidume sielewi...lol...uliishaona mtu anaamshwa usingizini kuulizwa alichokuwa anaota halafu mwenyewe anabaki kupiga miayo na kushangaa nini kinaendelea
 
Reactions: Mbu

...lol, anaweza kukupiga swali la kiintelijensia, wakati unatafuta jibu anakubandika swali la nyongeza ki 'psycho' halafu wakati unaanza kujibu, anakukatisha ki sales person! Mtu mmoja huyo....!

kisha anakufyonza "...♫mmmnnnxxxxxxxxxiiiiiii!......♫!" utadhani yeye ni mama aliyekuzaa...
 
Yaani Lizzy haya mambo yaache tu inaweza kuwa ndoto lakini kidume sielewi...lol...uliishaona mtu anaamshwa usingizini kuulizwa alichokuwa anaota halafu mwenyewe anabaki kupiga miayo na kushangaa nini kinaendelea

Hahaahahaha. . . . Hapo utakuta kisa alikua anaguna huku mkono ukibinya mkono wako kwa nguvu. Kaaaazi kweli kweli.
 

Lolzzzz. . . .
Huyo anakua kakuamulia aisee sio bure. Yani full kukomoana.
 
....na hii ndio dhumuni ya mada hii ya kamanda MTM...

Well hapo inabidi atueleze na matatizo yenyewe badala ya kuiliza kiujumla, anaenielewa mimi hana guarantee ya kumuelewa jirani yangu. . .
 
Hahaahahaha. . . . Hapo utakuta kisa alikua anaguna huku mkono ukibinya mkono wako kwa nguvu. Kaaaazi kweli kweli.
Ila kuna wengine nafikiri ni kukomoana aisee...lol
 
Thanks MWali... i picked my subject; nikaona kumwelewa mwanamke ni more important kwangu kutokana na yaliyonizunguka
 
I never used the word ALL aisee

wewe sasa unahitaji "bakora"
 
...unless bado mpo kwenye mapenzi machanga,...women rarely asks questions otherwise, anataka kukutuhumu kwa jambo fulani.

I've failed to understand women aisee...
welcome to my hood :ballchain:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…