yupo humu...aje ajione..
nyani mkindu
wanaimba..
mwanangu kua kua nikutumee
unitume wapi kwa mfalmee
kuna ng'ombe zangu kumi na mbilii
mmoja kafa kamla nyanii
nyani mkindu tumkindule
tucheze mapigo kwa bwana juma
bwana juma gani..ni mdodo
ni mtu mbaya kama.......
[emoji15] [emoji15] kituko tenahapana aisee..hicho kituko kafanyeni wenyewe..[emoji23]
Duuuuuh aiseee
Hahaha we jamaa nitakupima mkojoGogo la mnazi zi
zinga la nyuki ki
kibamia cha Jose se
severesiti ti
tia upupu pu
wahenga haonajiuliza mashairi ya hizi nyimbo alitunga nani? maana hizi melody zilisambaa sana mtaani kwetu. au ndo watu wasiojulikana..
Nakuona unaiba maashairiwahenga hao
una hatimiliki nayo?Nakuona unaiba maashairi
Ndyo kila documents lazma nikufunge kanga kwa wiziuna hatimiliki nayo?
hahahahahahahahahGogo la mnazi zi
zinga la nyuki ki
kibamia cha Jose se
severesiti ti
tia upupu pu
Niliiona shem hahaha kwa kuwa ni utani no problem
Hata mm najua shemela ila nimecheka kweli jamanNiliiona shem hahaha kwa kuwa ni utani no problem
ShikamooHata mm najua shemela ila nimecheka kweli jaman
Jesus is my saviour and a friend
Wait na mimi nitatafuta utani nikutanie ukitoa povu nicheke weee mpaka basi yaaniHata mm najua shemela ila nimecheka kweli jaman
Jesus is my saviour and a friend
hahahahahahahahah sithubutu kutoa povu juu yakoWait na mimi nitatafuta utani nikutanie ukitoa povu nicheke weee mpaka basi yaani
marahaba Cepha umeamkaje leo?Shikamoo
Namshukuru Muumba, nimeamka salama kabisamarahaba Cepha umeamkaje leo?
nafurahi kusikia hivyo asanteNamshukuru Muumba, nimeamka salama kabisa
Vip huko kwako , salama ?nafurahi kusikia hivyo asante