Atakaeweza kuendeleza....

Sikiliza mama wee nikweleze mimi
Mikono yangu midogo wee haiwezi kufanya kazi, haiwezi kufanya kazi
Lakini mama wee nitakua mkubwa nitakusaidia wee nawewe upumzike, na wewe upumzike

Sikia mwanangu kazi uzoee ukiwa mkubwa utakua mvivu, utakua mvivu
 
najiuliza mashairi ya hizi nyimbo alitunga nani? maana hizi melody zilisambaa sana mtaani kwetu. au ndo watu wasiojulikana..

Watu wa zamani sana ila watoto wa siku hizi wa dotcom ni nadra sana kuzisikia....hizo enzi zetu
 
Wananikimbilia hawanikimbii ii
inanoga hogo kuliko bamia a
au unabisha shaa
shahidi Cataliya yaa
yaani ni full mautamu uu
uliza kwa Jjesi....

si peke yangu najua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…