Atakaye ahidi kujenga bwawa kubwa la umeme mto Msimbazi ili kumaliza tatizo la umeme Dar es Salaam nitampa kura zangu zote

Atakaye ahidi kujenga bwawa kubwa la umeme mto Msimbazi ili kumaliza tatizo la umeme Dar es Salaam nitampa kura zangu zote

Wazo langu ni kujenga mfereji mpana kuanzia sarenda hadi Kinyerezi ili tutumie maji ya mkondo wa bahari kusafiri kwa boat.
Duuh maji ya bahari tena? Yale yanayokuja na kuondoka? Huoni kwamba bwawa nalo litakuwa la msimu??
Kwanini usiwaze umeme utokanao na upepo au mawimbi au jua??
 
Duuh maji ya bahari tena? Yale yanayokuja na kuondoka? Huoni kwamba bwawa nalo litakuwa la msimu??
Kwanini usiwaze umeme utokanao na upepo au mawimbi au jua??
Utokanao na upepo tutaambiwa joto limezidi, m
Tutanunua toka Ethiopia.
Nia ya Post yangu ni kuonesha kuwa kila mara tunaahidiwa kuhusu mafanikio ya miradi ya umeme lakini ahadi hizo huwa si za kweli, ksma tumeshindwa miradi mikubwa basi labda tujaribu vimiradi vidogo vya kichawi.
 
Hivi sasa tatizo la kukatikakatika umeme jijini Dar es Salaam limekuwa kubwa, hii huenda inatokana na umbali wa bwawa la Mwalimu Nyerere lilipo kitu chochote kikisafiri mbali huhitaji mapumziko njiani, hivyo ni vizuri kujenga bwawa hapa Dar es Salaam
Jografia ulisoma wapi?. We ishia kwenye mpira ndio walipoweza akili yako ccm
 
Hivi sasa tatizo la kukatikakatika umeme jijini Dar es Salaam limekuwa kubwa, hii huenda inatokana na umbali wa bwawa la Mwalimu Nyerere lilipo kitu chochote kikisafiri mbali huhitaji mapumziko njiani, hivyo ni vizuri kujenga bwawa hapa Dar es Salaam
Nikupe elimu kidogo.

Mito inaweza kuwa chanzo cha kuzalisha umeme wa maji (hydropower) kulingana na sifa zake za kijiografia na mtiririko wa maji. Aina kuu za mito zinazoweza kuzalisha umeme ni:


1. Mito yenye mtiririko wa haraka (Fast-flowing Rivers) – Mito hii ina kasi kubwa ya maji inayoweza kuzungusha mitambo ya kuzalisha umeme kwa ufanisi, mfano Mto Rufiji (Tanzania) na Mto Nile.


2. Mito yenye maporomoko (Rivers with Waterfalls) – Mito iliyo na maporomoko ya asili kama Victoria Falls (Zambia/Zimbabwe) inaweza kuwa na uwezo mkubwa wa kuzalisha umeme wa maji kwa kutumia nguvu ya mvuto wa maji.


3. Mito yenye mwinuko mkubwa (High-gradient Rivers) – Mito inayotoka maeneo ya juu kwenda maeneo ya chini huunda mwinuko wa maji unaowezesha uzalishaji wa umeme kwa ufanisi, mfano Mto Pangani (Tanzania).


4. Mito yenye mtiririko wa kudumu (Perennial Rivers) – Mito hii hutiririka mwaka mzima bila kukauka, hivyo inafaa zaidi kwa kuzalisha umeme wa maji kwa sababu ya uhakika wa mtiririko, mfano Mto Zambezi.


5. Mito inayoweza kuundwa mabwawa (Rivers with Reservoir Potential) – Mito hii ina maeneo yanayoweza kujengwa mabwawa ili kuhifadhi maji na kudhibiti mtiririko kwa ajili ya uzalishaji wa umeme, mfano Bwawa la Mtera kwenye Mto Great Ruaha.
 
Magufuli ndio alituweza watanzania. Maana tunatabia ya kuropoka tu, ndio maana huo muda wa kupokea ushauri alikuwa hana

Una bomba la gas kutoka Lindi hadi Dar, ambalo lina feed Kinyerezi.

Bomba ambalo uwezo wake kwa sasa unatumika chini ya 20%. Kwa Dar Es Salaam unahitaji gas power plant (ambayo ni reliable source) au another hydro power energy? To you utilise gas capacity.

Hiyo Kinyerezi yenyewe aifanyi kazi at full capacity, maana ina uwezo wa kuudumia Dar bila ya shida, TANESCO wanadai tatizo ni miundombinu isiyo na uwezo wa kupokea umeme.

Hizo info TANESCO wametoa kwa miaka kadhaa.

Halafu leo anatokea mkazi wa Dar ambae hajui sababu ya shida za umeme wa Dar, Achilia Kinyerezi; JNHP kuna turbinę 12 wanatumia 6 mpaka 8 kwa sababu wakiwasha zote hawajui huo umeme wa ziada utaenda wapi.

Halafu unakutana na mada kama hii, akili zetu watanzania zinatutosha wenyewe.

Napata shida sina na mfumo wetu wa elimu ambao umekuza wasomi kudhani unaweza kutoa vitu tu kutoka kichwani kwako without references either background knowledge/info za shirika au through theory.

Sad, yaani watanzania wapo comfortable kutoa vitu kutoka vichwani mwao tu out of the blue; salaleh.
 
Wabongo tunauelewa mdogo sana wa vitu common. Ila ukija mpira utasikia "Mpanzu, Mpanzu."
 
Hivi sasa tatizo la kukatikakatika umeme jijini Dar es Salaam limekuwa kubwa, hii huenda inatokana na umbali wa bwawa la Mwalimu Nyerere lilipo kitu chochote kikisafiri mbali huhitaji mapumziko njiani, hivyo ni vizuri kujenga bwawa hapa Dar es Salaam
Mkuu wazo lako ni zuri ila kwa pale msimbazi ule mto ni wa msimu tu siyo wa kudumu labda tuishauri serikali kuanza kutengeneza umeme wa upepo kama nchi za ulaya.
 
Back
Top Bottom