Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Nani anayasema hayo?
 
Dini haina lawama hapo Kwa sababu ishatangazwa mwenye uwezo basi afanye hio ibada
 
Too late my dear friend! By the way ISIS wanafanya hiyo kazi bila malipo. You and I know Saudi kingdom is on its deathbed.
Mkuu sijui hata sijakuelewaaaaa au unamaanisha nini ,sUPER POWER WANAGUSWA SEMBUSE SIJUI SAUDAAA
 

Limesaidia tende?
 
Visima vya maji safi, tense na bandari

Dah! Kweli maskini mpe tu chakula asahau shida zake kwa siku 1. Yani waongelea visima vya maji au vya mafuta? Msaada wa Uingereza kwa serikali yako wa mwaka mmoja ni sawa na hayo yote jumlisha miaka yote uliyoijua hiyo Saudia
 
Baada ya kugundua mwandishi yupo madina ya kwampalange,sipati shida na uwezo wake WA kifikra
 
Ujinga ule ule unaofanywa na wakristo wahafidhina kutetea israeli. Aheri ujinga wa waislaam kutetea saudi arabia. Wakristo wanatetea kijinga kwelikweli nchi wala sio ya kikristo. Israeli dini yao ni wayahudi. Ni nchi yenye kutekeleza sera ya ubeberu na mauaji ya kikatili sana duniani dhidi ya wapalestina
 
anayesema hivyo ni nani wewe au tanganyika!
 
Saudia itapigwa tu one of these days, haiwezekani ifadhili magaidi wanaochafua dunia nzima halafu dunia tuwaangalie tu.
Saudi kama Serikali kwa sasa inapinga ugaidi. Qatari ndiyo ya kuipiga; mfadhili mkubwa wa magaidi wa Muslim brotherhood
 
Mie sioni tofauti yoyote. Wote ni watumwa wa kiroho wajinga na maamuma wakubwa tu. Kwanini wasitete kwao wanapoteza muda kutetea kwa wenyewe tena wanaowadharau na kuwabagua kuliko hata wanyama? Wote ni wale wale ni kiazi na potato.
 
anayesema hivyo ni nani wewe au tanganyika!
Si ungemshauri huyo kumbaff aende huko kwao Saudia. Nchi gani takatifu jangwa na inayotawaliwa na washenzi wanaolindwa na Marekani taifa laanifu kuliko yote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…