Atakayeshinda ndiye atachukuliwa na mwanaume

Atakayeshinda ndiye atachukuliwa na mwanaume

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
1667111588246.png
 
Ningeenda kugombelezea huku nikishika skonzi na vyungu😋😋😋
 
Malaya wanagombea Pesa, wakubariane tu akawakaze wote wawili kwa pamoja yaishe kwan shingapi?
 
Malaya wanagombea Pesa, wakubariane tu akawakaze wote wawili kwa pamoja yaishe kwan shingapi?
Mkuu sasa hapo malaya nani? Umewakosea sana heshima wanawake; yaani unamuacha malaya aliyechukuwa wawili unawatukana wawili wanaogombania mmoja tena kwa kugombanishwa na huyo mmoja
 
Baada ya hizo ngumi dawa yake wote wamkatae.
 
Back
Top Bottom