Habari ya shirika letu la ndege kuzuiwa kutumia anga la nchi za Ulaya ni habari kubwa sana. Kwa mshangao mkubwa sijaona wala kusikia chombo chochote cha habari cha ndani kuripoti habari hii. Kumbe udanganyifu wa watawala hauishii kwenye uchaguzi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You know playbook ilivyo, if news inachafua image, act blind or usitangazeHabari ya shirika letu la ndege kuzuiwa kutumia anga la nchi za Ulaya ni habari kubwa sana. Kwa mshangao mkubwa sijaona wala kusikia chombo chochote cha habari cha ndani kuripoti habari hii. Kumbe udanganyifu wa watawala hauishii kwenye uchaguzi tu
Asante anko magu.You know playbook ilivyo, if news inachafua image, act blind or usitangaze
No freedom of pressHabari ya shirika letu la ndege kuzuiwa kutumia anga la nchi za Ulaya ni habari kubwa sana. Kwa mshangao mkubwa sijaona wala kusikia chombo chochote cha habari cha ndani kuripoti habari hii. Kumbe udanganyifu wa watawala hauishii kwenye uchaguzi tu
Kwenye nchi zenye demokrasia na uhuru kamili huwezi kuficha habari yeyote. Kazi ya vyombo vya habari ni kufichua habari zilizofichwa. Soma gazeti kama NewYork time etc.You know playbook ilivyo, if news inachafua image, act blind or usitangaze
Hapana, sio kweli kuwa ATCL ina safari za ulaya bali ina mpango na inawania kupata kibali cha safari za ulaya.Hv kumbe ndege zetu zimeshaanza safari za Ulaya, safi sana ni hatua nzuri hata kama wamepigwa pin
No worries, Panga Boi letu linaendea Bombay na UchinaHabari ya shirika letu la ndege kuzuiwa kutumia anga la nchi za Ulaya ni habari kubwa sana. Kwa mshangao mkubwa sijaona wala kusikia chombo chochote cha habari cha ndani kuripoti habari hii. Kumbe udanganyifu wa watawala hauishii kwenye uchaguzi tu
Balaa za Tanzania kwenye jumuiya ya kimataifa zingekuwa zinatangazwa zote watanzania wengi wangehama nchi!Habari ya shirika letu la ndege kuzuiwa kutumia anga la nchi za Ulaya ni habari kubwa sana. Kwa mshangao mkubwa sijaona wala kusikia chombo chochote cha habari cha ndani kuripoti habari hii. Kumbe udanganyifu wa watawala hauishii kwenye uchaguzi tu
Tz hakuna wanahabari wote ni machawa ukianza na paskaliHabari ya shirika letu la ndege kuzuiwa kutumia anga la nchi za Ulaya ni habari kubwa sana. Kwa mshangao mkubwa sijaona wala kusikia chombo chochote cha habari cha ndani kuripoti habari hii. Kumbe udanganyifu wa watawala hauishii kwenye uchaguzi tu
Huko kwa madikteta na wahuni wenzaoNo worries, Panga Boi letu linaendea Bombay na Uchina
Kwani wewe umezitoa wapi hizi habari..?Habari ya shirika letu la ndege kuzuiwa kutumia anga la nchi za Ulaya ni habari kubwa sana. Kwa mshangao mkubwa sijaona wala kusikia chombo chochote cha habari cha ndani kuripoti habari hii. Kumbe udanganyifu wa watawala hauishii kwenye uchaguzi tu
Wewe utakuwa ni chawa mzoefu, unatetea hata ujinga kwa hoja za kijingaKwani wewe umezitoa wapi hizi habari..?
Kama hivyo vyombo vya habari vitaandika taarifa hiyo kwa style ya ulivyoandika wewe, hakika vitaonekana ni vyombo vya uzushi tu...
Mimi nilifikiri kuwa, kwa kuwa wewe umeona na kuthibitisha habari hiyo, ndiyo ilikuwa fursa kwako kuileta ukiwa na evidence mkononi maana hata JF ni chombo cha habari tena kikubwa & reliable kuliko redio au TV stations nyingi...