Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Siwezi kuamini kwamba mwaandishi makini kama Mzee Mwanakijiji ameshindwa kukaa na habari yake mpaka asikilize upande wa pili alafu ndio atuletee habari kamili...? Sio habari nusu ijaziliwe na wananchi...
Hahaha... sijui uandishi lakini kwa speed hii!!! Taifa linazama...
Ndiyo ndege imeanza kuruka kwenda Afrika Kusini.. lakini inaruka kwa hasara! miye yangu macho siku everything is said and done tutajua huyo aliyependekeza tukodishe jidege hilo na kununua mpya toka Hamburg angetiwa pingu siku nyingi tu.
Ndiyo ndege imeanza kuruka kwenda Afrika Kusini.. lakini inaruka kwa hasara! miye yangu macho siku everything is said and done tutajua huyo aliyependekeza tukodishe jidege hilo na kununua mpya toka Hamburg angetiwa pingu siku nyingi tu.
Ndiyo ndege imeanza kuruka kwenda Afrika Kusini.. lakini inaruka kwa hasara! miye yangu macho siku everything is said and done tutajua huyo aliyependekeza tukodishe jidege hilo na kununua mpya toka Hamburg angetiwa pingu siku nyingi tu.
Nimetoka South Africa juzi (Jumapili), Inasemekana flight zote za ATC kutoka Joburg kuja Dar zimekua canceled until further notice.
Kwa route ya SA wala tusiwalaumu sana ATC, nadhani kaburu kwa makusudi kapania kuchukua route hiyo. Nakumbuka a month a go nilienda SA ndege ya watu 150 abiria tulikuwa si zaidi ya 20, na hapo tuliondoka na ndege ya asubuhi lakini pia ilikuwepo nyingine ya mchana, kwa maana kwamba SA wamejiandaa kulipia hiyo hasara ili wamtoe ATC katika route hiyo!. Kibaya zaidi ni kwamba pia nauli ya SA iko cheap ukilinganisha na ATC japo ukienda kata tiketi wanakuvutia kwa bidii zote utumie ATC!
Hilo ndo tatizo lingine nililo liona la kichuguu kupambana na mlima!
Rwabugiri sasa watu wa Marketing wa ATC walipoamua kuiweka dege hilo kwenda Afrika ya Kusini walikuwa wanafikiria nini? Kwanini kuanza na route ngumu kama hiyo? Mwanzoni walikuwa wanafikiria kuipeleka njia ya Khartoum pia!
Kokolo.. point nzuri hiyo. Sasa hawa ATC walipoenda kupata hizo Dash 8 mbili na Airbus moja... walikuwa wamefanya market analysis ya kujua soko wanalotaka kuziingiza ndege hizo likoje?
MWKJJ,
usinifurahishe, hivi ni govt institution gani yenye kujua huo msamiati wa "Market Analysis" ama "Business Plan"? Kama institutions zetu zikiweza kufahamu hiyo misamiati na kuweza kuifanyia kazi basi serikali yetu haitakuwa na bajeti tegemezi tena!! Na wala haitakuwa na wababe wa kuitisha kila kukicha!!
Katika strategic Marketing: Kaburu wanachofanya ni kutaka kuwatoa hao jamaa kwenye route ya South Africa. Kwa kuteremusha bei kwa makusudi ni kutaka kuwaondoa kwenye market, wakishaondoka wao wanapandisha bei mara mbili au tatu kufidia pesa zao zilizopotea.
Mfano ni Coca-cola (USA) walipoingia India, kwa kutengeneza coca za cane waliuza kwa bei ya hasara kwa mwaka mmoja, hivyo viwanda vingine ambavyo vilikuwa vinatengeneza Coca za chupa ikabidi vifunge biashara zao maana watu walishift toka soda za chupa na kununua za cane ambazo ni bei ya chini. Baada ya hivyo viwanda kufunga biashara, Coca (USA) waliongeza bei mara tatu.
Kwa hiyo strategy wanayotumia hao Makaburu ni sawa tu na hiyo ya Coca-Cola (USA).
Best strategies for ATC to win the market:
Use Travel search engine & Travel Finds Specials these will showcase ATCL best fares to millions of travelers each month through Web site.
Engage directly with consumers, enable consumer to buy the ticket on the Internet
Use email newsletter send to your customer every week/month etc.
Engage direct or tied up with the big hotel.
Strategic alliance with Tanzania tourism Industry
Promotion per milleage
Hapo ndo shida ilipo, siasa na propoganda zinapotangulia utaalamu! Naamini utaalamu wa biashara ungethaminiwa hakukuwa na haja ya kukodi dege kubwa lenye mkataba wa kirichmond wakati abiria wenyewe wa kulitumia hilo dege ili lilete tija hawapo!
Nadhani adui yetu mkubwa mwingine wa maendeleo ya Tanzania ni upungufu wa utaalamu katika 'decision makers team'! sorry to say it but ndo ukweli