Katika strategic Marketing: Kaburu wanachofanya ni kutaka kuwatoa hao jamaa kwenye route ya South Africa. Kwa kuteremusha bei kwa makusudi ni kutaka kuwaondoa kwenye market, wakishaondoka wao wanapandisha bei mara mbili au tatu kufidia pesa zao zilizopotea.
Mfano ni Coca-cola (USA) walipoingia India, kwa kutengeneza coca za cane waliuza kwa bei ya hasara kwa mwaka mmoja, hivyo viwanda vingine ambavyo vilikuwa vinatengeneza Coca za chupa ikabidi vifunge biashara zao maana watu walishift toka soda za chupa na kununua za cane ambazo ni bei ya chini. Baada ya hivyo viwanda kufunga biashara, Coca (USA) waliongeza bei mara tatu.
Kwa hiyo strategy wanayotumia hao Makaburu ni sawa tu na hiyo ya Coca-Cola (USA).
Best strategies for ATC to win the market:
Use Travel search engine & Travel Finds Specials these will showcase ATCL best fares to millions of travelers each month through Web site.
Engage directly with consumers, enable consumer to buy the ticket on the Internet
Use email newsletter send to your customer every week/month etc.
Engage direct or tied up with the big hotel.
Strategic alliance with Tanzania tourism Industry
Promotion per milleage