ATCL, Airline in Total Confusion!

ATCL, Airline in Total Confusion!

Nahisi route pekee isiyo na mbambamba sana ni Dar Dom Dar
Na sababu hapa zinajulikana
Kwingine kote ni vilio
 
Kwani Ttcl is performing? Ni yale yale
Haya mashirika ya umma hayana uchungu na mtaji wa liowekeza.
Private operations ndiyo zitawaweka huru.
Wajitahidi tu kukodisha ndege kwa Fast Jet.
ATC has proved kuwa HAWAWEZI.
 
Awekwe CEO mzungu, marketing manager mzungu, operation manager mzungu, head of engineering mzungu, CFO mzungu.

Wapewe total authority la shirika, Serikali isubiri faida kila quarter, half au mwisho wa mwaka.

Wamakonde hakuna tunachoweza zaidi ya blah blah, ngono, wizi, uchawi, majungu nk.
 
hili suala la delay kwa ATCL ni suala la kawaida sana, nina wasiwasi hizi ndege flight hours zikiwa kubwa kuna hatari zinaweza kuua watu sana.
 
Mlete mada umenigusa kabla sijasahau machungu ya juzi kupangiwa ndege sa 11 jioni halafu tukaja kuondoka sa 9 usiku, nafika home asubuh watu wanaenda kanisani misa ya kwanza
 
Mlete mada umenigusa kabla sijasahau machungu ya juzi kupangiwa ndege sa 11 jioni halafu tukaja kuondoka sa 9 usiku, nafika home asubuh watu wanaenda kanisani misa ya kwanza
Duh..pole sana aisee!
 
Mambo mengi ya serikali yanafelishwa kwa maksudi na baadhi ya watu wenye ushirikiano na sekta binafsi ili mradi ufe halafu sekta binafsi wapate mwanya na wanapewa percent kwenye kufanikisha hilo ipo mifano mingi watu wanaua mashirika ya serikali kwasababu wana mashirika yao binafsi wana ubia nayo na wapo very smart kwenye hilo.
Bado tu serikali ndiyo inabeba lawama. Kuna namna wanaweza kufanya kuepukana na hili. Wabadilishe namna wanavyotoa ajira na mikataba yake ili kupata ufanisi. Oppss nimesahau....kumbe viongozi wa serikali hiyo hiyo ndiyo wanafanya hizi njama...
 
Hawa CHADEMA wanai zorotesha hili shirika la ndege... Shirika halina pesa linajiendesha kihasara, limerudi zama za Wafanyakaz Wasaidizi wa mkuu fulani fulani na fulani wanapanda ndege bure nauli zitalipwa na Mamlaka fulani fulani na fulani... Shirika limekufa halina tofaut na lile shirika la simu ttlc
 
Back
Top Bottom