ATCL bado hawajajipanga vizuri

ATCL bado hawajajipanga vizuri

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.

Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.

Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.

Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.

Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.

Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.

Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.

Ngongo kwasasa Katavi.
 
Heshima sana wanajamvi,

Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.

Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.

Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.

Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.

Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.

Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.

Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.

Ngongo kwasasa Katavi.
Sijakuelewa, unasema atcl hawana connection nzuri halafu unasema kwa upumbavu hawaioni waitumie, hiyo ambayo hawana lakini unataka waitumie ni ipi?
 
Heshima sana wanajamvi,

Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.

Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.

Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.

Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.

Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.

Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.

Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.

Ngongo kwasasa Katavi.
Hiyo namba 1.......mhuuu
 
Heshima sana wanajamvi,

Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.

Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.

Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.

Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.

Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.

Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.

Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.

Ngongo kwasasa Katavi.
Hapo kwenye wahudumu wazee, Yani wanashindwa hata na kampuni ya mabasi ya Tilisho,

Au ndio ajira za kubebana,
 
Nahisi ni technic boss wao anaotumia kulihujumu ATCL ili liniendeshe kihasara lifie mbali. Wanaweka bei juu ili usikate tiketi kwao ukate ndege zingine na wao wafirisike habari iishie hapo
 
Hii ni Dom to Mwanza ATCL bei inafika 1milion
 

Attachments

  • Screenshot_20240715-094346.png
    Screenshot_20240715-094346.png
    581.7 KB · Views: 11
Ben, upo sahihi kabisa. Hili shirika litakufa tena sio muda mrefu litabaki kuendeshwa kwa ruzuku na kodi za wananchi, same kama mwendokasi ulivyokufa hautoi hudumu bali unatoa kero tu.

Next: SGR
Precision air wanakopa wananunua ndege used wanatoboa lakini ATCL inapewa ruzuku + ndege mpya inajiendesha kwa hasara, hapa kuna uhujumu uchumi na dili za wakubwa
 
Back
Top Bottom