ATCL bado hawajajipanga vizuri

ATCL bado hawajajipanga vizuri

Airline nyingine huwezi kuona captain anaweka kijiwe na cabin crews! Sana sana ndege ikiwa angani utamuona anaenda maliwatoni na kurudi kwao.

Hujajibu captain haruhusiwi kuzungumza na cabin Crew? Madhara yake ni nini? Ni kinyume cha policy?
 
Shirika la makada na machawa wao kupiga hela za bure, ndege zikifa wanasubiri JPM mwingine aje azinunue huku wenyewe hawana ujanja.
 
Heshima sana wanajamvi,

Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.

Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.

Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.

Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.

Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.

Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.

Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.

Ngongo kwasasa Katavi.
sasa mkuu mbona pointi mosi haina maana ...kwani wahudumu we wanakukwaza nini wakati ulichofata ni usafiri tu. anyway vp na ndege wangekua wanaangalia sura kama unavyowatazama wahudumu ..na sura lako bovu ungepanda ndege kweli
 
kwa mana kiswahili wamekikwepa? dah halafu unaweza kutu mtu analalmika kubauguliwa wakati tulishaanza kujibagua sisi wenyewe
 
Atcl gharama zao ziko juu mno juzi nimekata tiketi ya kwenda mwanza na kurudi dar 437x2
 
sasa mkuu mbona pointi mosi haina maana ...kwani wahudumu we wanakukwaza nini wakati ulichofata ni usafiri tu. anyway vp na ndege wangekua wanaangalia sura kama unavyowatazama wahudumu ..na sura lako bovu ungepanda ndege kweli
Bus la Kimbinyiko wameweza kuajiri wahudumu wazuri.Ajira za ATCL vimemo vimetawala ndio maana tuna wahudumu wana matumbo makubwa kama wanywa togwa.
 
Heshima sana wanajamvi,

Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.

Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.

Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.

Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.

Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.

Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.

Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.

Ngongo kwasasa Katavi.
Tumeshindwa kuendesha BRT tu, unafikiri tutaweza kuendesha Shirika la ndege la Kimataifa, bora apewe Bakhresa aliendeshe hilo shirika, litanfa kazi vyema kabisa.
 
Heshima sana wanajamvi,

Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.

Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.

Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.

Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.

Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.

Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.

Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.

Ngongo kwasasa Katavi.
Subiria ripoti ya CAG itakuwa yenye maumivu makali kuliko kudondokewa kufuli mguuni. Wanayafanya ayo yote Kwa sababu zikipungua wanachota kwenye kapu na kujazia mkuu
 
Kati ya ndege 14 zilizonunuliwa ni kumi tu zinazoweza kuwa angani kama hazina hitilafu za dharula. Uhalisia ni ndege 6 au 7 zinatumika sasa. Inashangaza jinsi kampuni yetu ya ndege inavyokimbilia safari za nje wakati hizi za ndani hawajazimudu.
Kwa nini hakuna ndege inayoruka kati ya Dodoma-Mwanza? Kigoma? Mbeya?
Kwa nini hakuna ndege inayoruka kati ya Kigoma-Mbeya? Mwanza? 😳 😳
 
Heshima sana wanajamvi,

Last week nilikuwa UAE 🇦🇪 Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.

Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.

Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.

Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.

Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine 🍷 ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.

Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.

Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.

Ngongo kwasasa Katavi.
Shukrani kwa bandiko lako kwenye mashiko ndugu, ubarikiwe. Kwa uzoefu wako, ni ndege gani Ina gharama stahimili; kutoka Dar to Dubai?
 
Back
Top Bottom