Airline nyingine huwezi kuona captain anaweka kijiwe na cabin crews! Sana sana ndege ikiwa angani utamuona anaenda maliwatoni na kurudi kwao.
Acha utotoHujajibu captain haruhusiwi kuzungumza na cabin Crew? Madhara yake ni nini? Ni kinyume cha policy?
Admit you just had a bad day and had to take it out on the pilot, he saw no point arguing with you na akaamua kurudi kwenye cockpitAcha utoto
sasa mkuu mbona pointi mosi haina maana ...kwani wahudumu we wanakukwaza nini wakati ulichofata ni usafiri tu. anyway vp na ndege wangekua wanaangalia sura kama unavyowatazama wahudumu ..na sura lako bovu ungepanda ndege kweliHeshima sana wanajamvi,
Last week nilikuwa UAE π¦πͺ Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.
Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.
Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.
Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.
Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine π· ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.
Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.
Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.
Ngongo kwasasa Katavi.
Simpaka waastaafu miaka 60?
Bus la Kimbinyiko wameweza kuajiri wahudumu wazuri.Ajira za ATCL vimemo vimetawala ndio maana tuna wahudumu wana matumbo makubwa kama wanywa togwa.sasa mkuu mbona pointi mosi haina maana ...kwani wahudumu we wanakukwaza nini wakati ulichofata ni usafiri tu. anyway vp na ndege wangekua wanaangalia sura kama unavyowatazama wahudumu ..na sura lako bovu ungepanda ndege kweli
Dah! Hiyo ya mosi mkuu nimecheka hadi tumbo likauma!Hiyo namba 1.......mhuuu
Tumeshindwa kuendesha BRT tu, unafikiri tutaweza kuendesha Shirika la ndege la Kimataifa, bora apewe Bakhresa aliendeshe hilo shirika, litanfa kazi vyema kabisa.Heshima sana wanajamvi,
Last week nilikuwa UAE π¦πͺ Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.
Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.
Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.
Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.
Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine π· ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.
Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.
Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.
Ngongo kwasasa Katavi.
Subiria ripoti ya CAG itakuwa yenye maumivu makali kuliko kudondokewa kufuli mguuni. Wanayafanya ayo yote Kwa sababu zikipungua wanachota kwenye kapu na kujazia mkuuHeshima sana wanajamvi,
Last week nilikuwa UAE π¦πͺ Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.
Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.
Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.
Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.
Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine π· ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.
Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.
Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.
Ngongo kwasasa Katavi.
Bei siyo tatizo. Uzalendo matters. Kuwa mzalendo.Kwenye bei hapo umepiga penyewe, hii kampuni ina mibei ya juu sana locla na international
Jiiizas are you serious?Laki 6 mwanza na Dom dooh
Shukrani kwa bandiko lako kwenye mashiko ndugu, ubarikiwe. Kwa uzoefu wako, ni ndege gani Ina gharama stahimili; kutoka Dar to Dubai?Heshima sana wanajamvi,
Last week nilikuwa UAE π¦πͺ Dubai, nilitumia usafiri wa ATCL kwa mara ya kwanza.
Mambo matano ya hovyo niliyashuhudia.
Mosi Wahudumu ni wazee na wana miili mikubwa kama Mama Ntilie.
Pili ATCL hawana connection nzuri ambayo ipo lakini kwa ujinga, ushamba, upumbavu hawaioni au hawataki kuitumia. Mfano ni kwanini ATCL wanawalenga abiria wa Dar wakati wangeweza kutengeza connection nzuri na kubwa ya abiria wa Zanzibar, Mwanza, Kilimanjaro & Mbeya au Dodoma.
Tatu ATCL hawana vinywaji standard mfano wine π· ya image haina viwango ukiinywa utafikiri unakunywa dawa ya kuharisha.
Nne matangazo yao kupanda ndege Dubai Airport ni kingereza, kifaransa, kireno hakuna kiswahili. Wenzetu Ethiopia wanatangaza lugha yao sisi tunazubaa zubaa.
Tano bei tiketi nje ya Dar ni ghali sana kupita kiasi ATCL mkiendeleza huu ujinga unaofanyika katika ofisi zenu mnaenda kuanguka mapema.
Ngongo kwasasa Katavi.