Eti ma ccm, as if hiyo ndege ni ya ccm, ww ni kama nyumbu za bongo, huwa wanadhani ndege ni za magufuli. Kumbe zimenunuliwa na hela za kodi ya wananchi wote.Hii imewashinda Maccm kuipa sound, mpaka sasa mumepoteana.
Eti ma ccm, as if hiyo ndege ni ya ccm, ww ni kama nyumbu za bongo, huwa wanadhani ndege ni za magufuli. Kumbe zimenunuliwa na hela za kodi ya wananchi wote.
Afu kitambo inaonyesha ccm inakupa tabu sana, utakufa utaiacha, unajichosha bure kuichukia.
Hatujaachia ruti tunataka serikali ya SA kutuhakikishia kimaandishi usalama wa abiria na ndege yetu.So kwa kuachia ruti mnakomoa SAA sio.
Tunakaririshwa na nani? Mm sipo lumumba, naishi moshi, sina kadi ya chama chochote, sasa nikionaga hizi generalization, shows me how Tz under ccm is a pain in y'all asses, i like that.Tatizo mnakaririshwa jinsi gani ya kujibu haya matukio hadi mnapoteana hapo Lumumba.
[emoji23] nimesoma huu uzi nikacheka kweli.Hatujaachia ruti tunataka serikali ya SA kutuhakikishia kimaandishi usalama wa abiria na ndege yetu.
Na wewe unayejua biashara umebaki kurandaranda hapa JF usiku kucha. Duh....bishara hajui...
Ile ilikuwa ni hujuma kwa kuwa ATCL ilikuwa inateka soko la SAA.[emoji23] nimesoma huu uzi nikacheka kweli.
1. Kwani ni lini ndege haikua salama? Kipindi chote tangia izuiwe na mahakama imelindwa na serikali ya SA hadi ilipoachiwa na imerudi salama.
2. Hao "abiria wetu" sio kwamba wameacha kwenda SA...ni kwamba hela yao badala ya kuingia ATCL imeenda SAA, KQ, Rwandair, Ethiopian, malawai airlines na wengine ambao bado wanaruka kwenda huko.
3. Kama mnasubiri "maandishi" ya serikali ya SA mnaweza mkasubiri sana...maana ATCL inavyozidi kutoruka kwenda SA basi shirika lao linaneemeka zaidi.
Mimi nadhani huu uamuzi ulifanywa kwa kukurupuka na kwa hasira na sio kwa kuzingatia principle za biashara. Actually ATCL walikua wameshadhamiria kuendelea na safari za SA baada ya ndege kuachiwa na walikua wameshatangaza hivyo kwenye insta...lakini simu ikatoka "juu" ya kutengua huo uamuzi. Kusema kweli kama shirila letu litaendeshwa kwa namna hii halitafanikiwa...menejmenti ingeachiwa ifanye haya maamuzi na serikali isiingilie. Waangalia namna ambavyo serikali ya Ethiopia inavyoendesha shirika lao la ndege..hutasikia hata siku moja eti waziri anaamua kusitisha route.
Hata kama hiyo ni kweli (ingawa bado nina mashaka)...kusitisha safari za atcl kwenda huko itakua imefanikisha lengo la kuizuia atcl kuteka hilo soko..kama ndio ilikua lengo. Kwahiyo mwisho wa siku tunajikomoa wenyewe na kujisababishia hasara tukisubiri mmiliki wa mshindani wetu mkuu kwenye hiyo route kutuandikia barua ya "kutuhakikishia usalama". Busara ni kuanzisha tu tena hiyo route tuendelee na biashara.Ile ilikuwa ni hujuma kwa kuwa ATCL ilikuwa inateka soko la SAA.
Ruti haijaachwa kinachofanyika ni kuikata mizizi ya hujuma ambayo ipo Tanzania, hata mawakili wa kuitetea ndege walikuwa wapelekwe wasio na uzoefu ili tushindwe. Sasa utapelekaje ndege huko wakati waliosababisha ikamatwe bado hawajashughulikiwa? Tukipeleka wakaikamata tena kwa kisingizio kingine si italeta picha mbaya kwa abiria na biashara kwa ujumla?Hata kama hiyo ni kweli (ingawa bado nina mashaka)...kusitisha safari za atcl kwenda huko itakua imefanikisha lengo la kuizuia atcl kuteka hilo soko..kama ndio ilikua lengo. Kwahiyo mwisho wa siku tunajikomoa wenyewe na kujisababishia hasara tukisubiri mmiliki wa mshindani wetu mkuu kwenye hiyo route kutuandikia barua ya "kutuhakikishia usalama". Busara ni kuanzisha tu tena hiyo route tuendelee na biashara.