R Rasterman JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 33,894 Reaction score 44,117 Mar 30, 2019 #141 REDEEMER. said: Kwa hiyo kila kitu kinachoendelea ATCL kitangazwe kwenye media? Huo utaratibu upo nchi gani? Watataarifiwa wahusika na sio kila mtu. Click to expand... Mbona kupaka rangi tu imetangazwa siku nzima sembuse fursa za kibaiashara??
REDEEMER. said: Kwa hiyo kila kitu kinachoendelea ATCL kitangazwe kwenye media? Huo utaratibu upo nchi gani? Watataarifiwa wahusika na sio kila mtu. Click to expand... Mbona kupaka rangi tu imetangazwa siku nzima sembuse fursa za kibaiashara??
R Rasterman JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 33,894 Reaction score 44,117 Mar 30, 2019 #142 BAK said: Jamaa ni muongo wa kupindukia. Click to expand... Mwongo sana
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Mar 30, 2019 #143 Pythagoras said: Mwongo sana Click to expand... Mishipa ya Aibu ilishakufa Ganzi
mbogo31 JF-Expert Member Joined Nov 28, 2008 Posts 711 Reaction score 173 Apr 2, 2019 #144 Van pebles said: Tatizo huwa wanachelewa kutoa ufafanuzi mpaka watu wanalishwa matago pori Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Tatizo la watanzania wengi ni kuongea sana bila ushahidi wala kujua chochote.
Van pebles said: Tatizo huwa wanachelewa kutoa ufafanuzi mpaka watu wanalishwa matago pori Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Tatizo la watanzania wengi ni kuongea sana bila ushahidi wala kujua chochote.
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,120 Apr 2, 2019 #145 Hii sio habari kabisa. Labda yangekodiwa mabasi ya mwendokasi kwenda kwenye ngoma ya harusi ndio ingekuwa habari.
Hii sio habari kabisa. Labda yangekodiwa mabasi ya mwendokasi kwenda kwenye ngoma ya harusi ndio ingekuwa habari.