Mbona kupaka rangi tu imetangazwa siku nzima sembuse fursa za kibaiashara??Kwa hiyo kila kitu kinachoendelea ATCL kitangazwe kwenye media? Huo utaratibu upo nchi gani? Watataarifiwa wahusika na sio kila mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kupaka rangi tu imetangazwa siku nzima sembuse fursa za kibaiashara??Kwa hiyo kila kitu kinachoendelea ATCL kitangazwe kwenye media? Huo utaratibu upo nchi gani? Watataarifiwa wahusika na sio kila mtu.
Jamaa ni muongo wa kupindukia.
Mishipa ya Aibu ilishakufa GanziMwongo sana
Tatizo la watanzania wengi ni kuongea sana bila ushahidi wala kujua chochote.Tatizo huwa wanachelewa kutoa ufafanuzi mpaka watu wanalishwa matago pori
Sent using Jamii Forums mobile app