ATCL imeanza kupaa sana kimapato. Mbunge Zungu Ashauri serikali iige inachofanyiwa Ethiopian Airline na Serikali yao

ATCL imeanza kupaa sana kimapato. Mbunge Zungu Ashauri serikali iige inachofanyiwa Ethiopian Airline na Serikali yao

Hadi sasa mtoa mada hajajibiwa kwa hoja...

naendelea kusisitiza JF ya sasa imejaa watu wa ajabu mno.
Sisi watetea Magufuli tunajenga hoja wanaoona Magufuli alikuwa kibaka sio kesi waweke hoja zao hapa tupambane kwa hoja ila tunashukuru magufuli wezi wote wa pesa za serikali awamu zote zilizopita Kabla ya Magufuli raisi Magufuli alihakikisha wanazitapika zote na zinaenda miradi ya wanyonge
 
Sisi watetea Magufuli tunajenga hoja wanaoona Magufuli alikuwa kibaka sio kesi waweke hoja zao hapa tupambane kwa hoja ila tunashukuru magufuli wezi wote wa pesa za serikali a awamu zote zilizopita abla ya Magufuli raisi Magufuli alihakikisha wanazitapika zote na zinaenda miradi ya wanyonge
Mlivyowatapisha Matajiri sababu ya wanyonge Unajua wanyonge wangapi walipoteza ajira na serikali haiwezi kuwaajiri?
Tuanze na Manji .... Then nitakuletea mwingine

Sent from my HUAWEI CAM-L21 using JamiiForums mobile app
 
Mlivyowatapisha Matajiri sababu ya wanyonge Unajua wanyonge wangapi walipoteza ajira na serikali haiwezi kuwaajiri?
Tuanze na Manji .... Then nitakuletea mwingine

Sent from my HUAWEI CAM-L21 using JamiiForums mobile app
Sio issue wezi na vitega uchumi vyao vya wizi walikuwa hawalipi vizuri wanyonge magufuli kawabamiza barabara wakiwemo vibaka vyama vya upunzani sasa watafanya legitmate bussiness na watalipa mishahara stahiki
hawatazulumu wanyonge
 
Bado tu mnapigia debe hizo ndege ilihali zimeleta loss ya zaidi ya billion 100+ toka mzipokee! Hivi huu ushamba mtaacha lini CCM?

Acheni kuchezea kodi za wananchi hivyo mkidhani wanafurahia hizo siasa zenu..

 
Toka bunge hili lianze mbunge ninayeona katoa hoja nzito ni Zungu Kaeleza vizuri sana kuhusu ATCL NA NAMNA YA KUIFANYA IWE NA FAIDA KUBWA

Kasema kabla ya Magufuli Mishahara yote ya wafanyakazi wa ATCL KWA ASILIMIA 100 ilikuwa ikilipwa na serikali sasa hivi serikali inalipa asilimia 17 tu kiasi kilichobaki wanalipa wenyewe

Kashauri serikali kuondoa vitu kama landing fee ,navigation fee na parking fee nk

Msikilize kuanzia dakika ya 4

Hii ni punieto tu
 
Kumbe serikali huwa inajikata kodi kwenye mali zake yenyewe mpaka zinashindwa kujiendesha, kwani CAG alitoa maoni gani ili hilo shirika lijiendeshe kwa faida? au nae alisema tu ndege ziuzwe kama sisi laymen wa mtaani.
Uko Sahihi serikali ilikuwa inajikata kodi barabara kwenye mali yake ATCL

CAG hakutoa maoni nyeyote ya nini kifanyike zaidi ya kusoma kwa m,bwembwe kuwa shirika limepata hasara akawaachia ma laymen wakiwemo wabunge ndio waamue!!! Ndugai akiwa hana hata proffessinal guidance yeyote akauliza wabunge labda tujadili kwa hasara ndege zingine ziendelee kununuliwa au zisiendelee? Aliuliza kihewa hewa tu sababu CAG yeye alikuwa LOUD SPEAKER ya kusoma LOSS TU!!
 
Watanzania wengi pamoja na Zungu wamekosa Elimu bora kwa hiyo kila mtu anaongea anachojisikia...
 
Zungu anamaanisha serikali ikifanya biashara haiwezi kupata hasara! Mawazo kama ya jiwe tu yaliyopeleka kupoteza mabilioni ya walipa kodi katika biashara yake na BoT kwenye korosho.

Kama serikali huwa haipatai hasara kwa nini isichukue biashara zote nchini ziwe za serikali tuwe na nchi isiyo na hasara hata chembe kwenye biashara yoyote??
Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali

Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.

ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL

Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri
 
Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali

Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.

ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL

Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri

Hadi sasa mtoa mada hajajibiwa kwa hoja...

naendelea kusisitiza JF ya sasa imejaa watu wa ajabu mno.
Nataka kuweka rekodi sawa.

Nanukuu

Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120. Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.

Majibu:

Pamoja na kuwa Serikali ina umiliki wa 100% wa shirika bado Serikali hiyo hiyo inaipa ATCl ruzuku ya shilingi bil. 153.7. Kati ya pesa hizo shilingi bil. 193.44
zilitumika sio kwa matumizi ya kawaida kama mishahara kama alivyopendekeza zungu, balizilitumika ktk matumizi yaliyohusiana moja kwa moja
na usafirishaji wa abiria na mizigo kutoka shilingi bilioni 133.64 mwaka wa fedha uliopita.

Pia, nilibaini kuwa hasara ilichangiwa na
kutokuwa na usimamizi mzuri wa matumizi ya utawala. Kwa mfano,
nilibaini kuwa kiasi cha shilingi bilioni 1.53 kililipwa kama stahiki
kwa wafanyakazi wa Kampuni. Hata hivyo, baadhi ya stahiki hizo
kama vile malipo ya likizo na malipo ya usafiri kwa wafanyakazi
ambazo hazijabainishwa katika mwongozo wa wafanyakazi wa
mwaka 2008.
Hivyo, ni maoni yangu kuwa bila kudhibiti gharama za uendeshaji
pamoja na za kibiashara, Kampuni itaendelea kupata hasara.
 
Screenshot_20210417-090607.jpg


Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20210417-090607.jpg
    Screenshot_20210417-090607.jpg
    39 KB · Views: 2
Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali

Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.

ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL

Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri
Mkuu usiingie deep sana. Uwezo wa hao jamaa wapingaji wa kuchanganua mambo ni mdogo sana.
 
Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali

Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.

ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL

Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri
Mkuu biashara ni ushindani sasa ikiwa atcl atafutiwa hizo tozo precision atapona kweli? Na iweje precision apate faida kwenye mazingira yaleyale ambayo atcl anafeli? Mi nafikiri atcl iangalie inakosea wapi, pia washushe nauli ili watu wengi waweze kusafiri kwa ndege au waruhusu kukata tiketi za muda mrefu kwa bei rahisi kama fast jest alivyokuwa akifanya
 
Back
Top Bottom