muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,627
- 4,445
Kifo cha huyu Mkulu wenu kimewavuruga sana nyie wanyonge, kafa na akili zenu timamu baadhi yenu... View attachment 1753609
Sisi watetea Magufuli tunajenga hoja wanaoona Magufuli alikuwa kibaka sio kesi waweke hoja zao hapa tupambane kwa hoja ila tunashukuru magufuli wezi wote wa pesa za serikali awamu zote zilizopita Kabla ya Magufuli raisi Magufuli alihakikisha wanazitapika zote na zinaenda miradi ya wanyongeHadi sasa mtoa mada hajajibiwa kwa hoja...
naendelea kusisitiza JF ya sasa imejaa watu wa ajabu mno.
Mlivyowatapisha Matajiri sababu ya wanyonge Unajua wanyonge wangapi walipoteza ajira na serikali haiwezi kuwaajiri?Sisi watetea Magufuli tunajenga hoja wanaoona Magufuli alikuwa kibaka sio kesi waweke hoja zao hapa tupambane kwa hoja ila tunashukuru magufuli wezi wote wa pesa za serikali a awamu zote zilizopita abla ya Magufuli raisi Magufuli alihakikisha wanazitapika zote na zinaenda miradi ya wanyonge
Sio issue wezi na vitega uchumi vyao vya wizi walikuwa hawalipi vizuri wanyonge magufuli kawabamiza barabara wakiwemo vibaka vyama vya upunzani sasa watafanya legitmate bussiness na watalipa mishahara stahikiMlivyowatapisha Matajiri sababu ya wanyonge Unajua wanyonge wangapi walipoteza ajira na serikali haiwezi kuwaajiri?
Tuanze na Manji .... Then nitakuletea mwingine
Sent from my HUAWEI CAM-L21 using JamiiForums mobile app
Bado tu mnapigia debe hizo ndege ilihali zimeleta loss ya zaidi ya billion 100+ toka mzipokee! Hivi huu ushamba mtaacha lini CCM?
Acheni kuchezea kodi za wananchi hivyo mkidhani wanafurahia hizo siasa zenu..
Hii ni punieto tuToka bunge hili lianze mbunge ninayeona katoa hoja nzito ni Zungu Kaeleza vizuri sana kuhusu ATCL NA NAMNA YA KUIFANYA IWE NA FAIDA KUBWA
Kasema kabla ya Magufuli Mishahara yote ya wafanyakazi wa ATCL KWA ASILIMIA 100 ilikuwa ikilipwa na serikali sasa hivi serikali inalipa asilimia 17 tu kiasi kilichobaki wanalipa wenyewe
Kashauri serikali kuondoa vitu kama landing fee ,navigation fee na parking fee nk
Msikilize kuanzia dakika ya 4
Uko Sahihi serikali ilikuwa inajikata kodi barabara kwenye mali yake ATCLKumbe serikali huwa inajikata kodi kwenye mali zake yenyewe mpaka zinashindwa kujiendesha, kwani CAG alitoa maoni gani ili hilo shirika lijiendeshe kwa faida? au nae alisema tu ndege ziuzwe kama sisi laymen wa mtaani.
Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali
Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.
ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL
Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri
Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali
Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.
ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL
Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri
Nataka kuweka rekodi sawa.Hadi sasa mtoa mada hajajibiwa kwa hoja...
naendelea kusisitiza JF ya sasa imejaa watu wa ajabu mno.
Mkuu usiingie deep sana. Uwezo wa hao jamaa wapingaji wa kuchanganua mambo ni mdogo sana.Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali
Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.
ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL
Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri
Mkuu biashara ni ushindani sasa ikiwa atcl atafutiwa hizo tozo precision atapona kweli? Na iweje precision apate faida kwenye mazingira yaleyale ambayo atcl anafeli? Mi nafikiri atcl iangalie inakosea wapi, pia washushe nauli ili watu wengi waweze kusafiri kwa ndege au waruhusu kukata tiketi za muda mrefu kwa bei rahisi kama fast jest alivyokuwa akifanyaHpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali
Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.
ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL
Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri