Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tz imenunua best plane in each category. Short haul- bombadier, Medium haul- cs300/airbus a220 Long haul- Boieng 787.Halafu aliyebuni mchanganyiko wa mawaa ya ndege zetu namsifu sana, yaani zinapendeza utadhani zimeshuka kutoka mbinguni! Mibaraka ya Mungu Mwenyezi kwa watu wake anaowapenda!
Wewe ni chizi? Umesoma nilichokiandika? Soma tena hki hapa chiniTz imenunua best plane in each category. Short haul- bombadier, Medium haul- cs300/airbus a220 Long haul- Boieng 787.
Shida ipo wapi? kufikiria kwamba mchanganyiko ni mbaya ni fikira duni..yaani pedestrian knowledge
Pole mimi mkenya, Kiswahili ni changamoto kwangu 😀Wewe ni chizi? Umesoma nilichokiandika? Soma tena hki hapa chini
Halafu aliyebuni mchanganyiko wa mawaa ya ndege zetu namsifu sana, yaani zinapendeza utadhani zimeshuka kutoka mbinguni! Mibaraka ya Mungu Mwenyezi kwa watu wake anaowapenda!
Wanatamani zote zilipuke hapo zilipo.hii ni taarifa mbaya kwa wazungusha mikono
Na bado zingine hazijafika.
Nauli ni nafuu. Ni ww hujaamua tuhe he! wengine tutakalia kuziona pichani...
The range ya hiyo A220 i think ni chini ya km 6000.Tz imenunua best plane in each category. Short haul- bombadier, Medium haul- cs300/airbus a220 Long haul- Boieng 787.
Shida ipo wapi? kufikiria kwamba mchanganyiko ni mbaya ni fikira duni..yaani pedestrian knowledge
Mimi wamenikosha jinsi walivyosipark utafikiri zipo kwenye parade la Muungano
Nilimaanisha zile angi zake, kiswahili cha kisukuma nadhani. Nilitakiwa nisemeje, kiswahili fasaha?MauaNaomba kujua maana ya neno 'mawaa'
Hiyo CS 300 inauwezo wakufika India na nchi zote za Africa tokea Tanzania. Kwa hiyo baadhi ya nchi za Asia inaweza fika.The range ya hiyo A220 i think ni chini ya km 6000.
A proper medium haul aircraft ni Airbus A320neo and its rival the Boeing 737max (Russians are coming with the MS-21).
Eventually we are gonna have to buy those.
In my opinion the A220 is more a bigger capacity short haul aircraft haha.
Mzee upo Nairobi sio mchafukogehii ni taarifa mbaya kwa wazungusha mikono