Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Alishatimizia wajibu wakeKuna mtaalam wa haya mambo mimi namuamini sana,na anajua mengi kusema ukweli! Naomba nimuite hapa
barafu
barafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Magufuli anataka kuifufua ATCL, ila hii "kachumbari ya ndege" anazonunua inatia mashaka
Wakati tunaendelea kumpongeza Rais JPM kwa juhudi zake za kufufua shirika la ndege Tanzania(ATCL) tujipe na muda wa kutafakari pia mambo mengine na "kuhoji" kwa nia njema ya kutuondoa hapa tulipo kwenda mbele.Kuhoji kwetu ichukuliwe kama changamoto ya kulihuisha shirika letu na si...