ATCL na hofu ya kupigwa oda ya ndege mpya nne za kisasa

Indirect profit waseme wanasiasa sio CAG Ile ni taaluma.
Eti mtu analinganisha ATCL na Ethiopian Airlines
You must be crazy
Yaani mijitu mingine hovyo sana sijui inafirwagwaa mdomoni haioni aibu kabis kuleta hoja za kipuuzi,eti atcl ishindane na ethiopia air pumbavu zake kabisa hilo lijamaa
 
CM1774858, Jabali la Siasa, ni mpumbavu mmoja mwenye hizo id
 


Inawezekana huelewi watalii hawaletwi na ATC 😂 hivyo haijachangia kwa ongezeko lolote la watalii. Vilevile ndege hizi zimekuja wakati kuna lockdown ya Covid 19
 
Andiko zuri sana hili, Tuko na Samia
 
Umeandika kishabiki zaidi. Ungetaja wao Atcl wanazo ngapi hata kama ni chache.
Nasema kishabiki, maana unaweka picha kama vile Atcl hawana International routes
 
Umeandika kishabiki zaidi. Ungetaja wao Atcl wanazo ngapi hata kama ni chache.
Nasema kishabiki, maana unaweka picha kama vile Atcl hawana International routes
Sipo hapa kubishana na wapumbavu.

Active International Destinations za ATCL hazifiki hata 10 haya unasemaje?

At the same time ndege hizohizo ikitokea kiongozi fulani wa serikali anasafiri ndio wanachukua hizohizo?

Sijui hata kama hizo ndege zenyewe umewahi kupanda ila waliowahi kupanda wanaelewa kizaazaa walichokutana nacho cha kuahirishiwa safari.
 
Shule hii ni mpya mkuu sijawahi kuisikia
 
Mzee wa indirect profit bado unaendelea na huu ujinga wako baada ya Ile ripoti ya PAC kuhusu hasara ya ATCL ya zaidi ya 60 billion????

Eti indirect profit dah 😂
 
Hivi hawa wabunge wanashindwa kuelewa kuwa ATCL inakodi ndege kutoka shirika la ndege za serikali na inawajibika kulipia ukodishaji huo?hizo pesa zinazolipwa hazitoki nje ya serikali na serikali hiyo hiyo ndo mmiliki wa asilimia 100 wa ATCL hawaoni kuwa hizi ni hasara za kwenye makaratasi?au mnataka muonyeshe faida za ATCL ili mkalipe madeni ya kifisadi yaliyotengenezwa huko nyuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…