ATCL na hofu ya kupigwa oda ya ndege mpya nne za kisasa

ATCL na hofu ya kupigwa oda ya ndege mpya nne za kisasa

===
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa.

Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara (Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL)

Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing (tiketi) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,

Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?

Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,

Nimejaribu ku-Google bei za kila ndege na hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,

Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni

Puuzeni uzushi, bei ya kiwandani kwa ndege zote mpya nne zilizoagizwa na Rais Samia ni $667.4M au TZS 1.5T na Sio $726M au 1.7T,Watanzania chapeni kazi inchi yenu iko Salama Sana,​


||Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema||

ATCL ina nafasi ya kufanya vizuri zaidi endapo itajipanga vizuri. Nchi hii imejaaliwa vivutio vya utalii kuliko nchi nyingi za Africa. Ni wazi ikiamua kujitangaza na kupanua huduma zao Africa na duniani tuna chances za kufanya vizuri zaidi ya wenzetu wengi
 
===
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa.

Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara (Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL)

Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing (tiketi) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,

Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?

Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,

Nimejaribu ku-Google bei za kila ndege na hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,

Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni

Puuzeni uzushi, bei ya kiwandani kwa ndege zote mpya nne zilizoagizwa na Rais Samia ni $667.4M au TZS 1.5T na Sio $726M au 1.7T,Watanzania chapeni kazi inchi yenu iko Salama Sana,​


||Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema||

Mama twende kazi, Tuko na wewe
 
===
Tanzania tayari tuna ndege mpya 11 za kisasa zinazoifanya ATCL kuwa mshindani wa Rwanda Airlines,Ethiopia Airline na Kenya Airways katika biashara ya Usafiri na usafirishaji wa anga Africa.

Pamoja na kwamba kimahesabu ATCL inaonekana kutengeneza hasara lakini indirectly ATCL inafaida kubwa sana kwa Uchumi wa nchi yetu, kwamfano hadi kufikia ripoti ya mwisho ya CAG shirika letu la ATCL lilitengeneza hasara ya TZS 153BL ila indirect benefits CAG hakuzitaja ambazo ndio zinathamani kubwa zaidi ya hiyo hasara (Wakati mwingine CAG aje na indirect benefits za ATCL)

Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing (tiketi) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,

Mfano, Mwaka 2017|18 mapato yetu yatokanayo na Utali yalifikia $2.4BL sawa na Tshs 5.5trilioni wakati rekodi ya Watali ikiwa 2m tu,Lakini tunafahamu duniani kila mwaka kuna zaidi ya Watali 1.5bl wanatafuta wapi waende kula bata,

Kama tulipata TZS 5.5Trilioni kwa watalii 2m waliojileta wenyewe itakuwaje tukiwafuata kwa Ndege zetu wenyewe? Nahasa ya 153BL Ni-nini kwenye mapato ya TZS 5.5 kama ndege hizi zitaleta watalii 2m wapya?

Niulize swali, Kenya Airways inaweza kubeba watalii toka UK ikawaletea ninyi Tanzania mnaopinga kuwa na ndenge zenu? "Jibu ni Hapana" vivyo hivyo kwa mataifa shidani kibiashara toka Africa hawawezi kuwafaidisha ninyi lazima kila nchi ivutie kwake na hii ni miongoni mwasababu inamfanya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza ndege mpya tano za kisasa huku akilipia nne za awali,

Nimejaribu ku-Google bei za kila ndege na hizi ndizo bei za kiwandani japo naamini kunapunguzo,

Bei ya Boing 787-800 dreamliner ni $248M au TZS 570.4BL,Wakati bei ya Boing 767 -300 Freighter ni $220M au TZS 506BL na Boing 737 Max ni $99.7M kwa moja sawa na TZS 458.6BL kwa zote mbili, Bei ya ndege zote nne kwa mujibu wa bei ya kiwandani ni $667.4M sawa na TZS 1.535Trilioni

Puuzeni uzushi, bei ya kiwandani kwa ndege zote mpya nne zilizoagizwa na Rais Samia ni $667.4M au TZS 1.5T na Sio $726M au 1.7T,Watanzania chapeni kazi inchi yenu iko Salama Sana,​


||Jifunzeni kuisemea nchi yenu mema||

Tuko vizuri sana Tanza
 
Post ya mtu anayejipiga dole la mdhuti halafu anajinusa. Unaona sisi ni wajinga sana eti indirect profit, hakunaga kitu kinaitwa indirect profit kwenye uchumi hata siku moja.

Kila asset inaponunuliwa itakuwa calculated yenyewe kama inajiendesha kwenye kampuni Ina maana hiyo kampuni itareport loss au profit, period hakuna idirect loss or indirect profit, acha kutuletea umang'aa kawadanganye kijijini kwenu.

Laiti hizi ndege zingekuwa chini ya wizara ya utalii na zikawa hazijawekwa as asset chini ya kampuni labda tungezichukulia kwa namna hiyo lakini pia haziwekwi kwenye mambo yako ya indirect zinaweza kuwekwa Kama asset za kufanya shughuli ya ubebaji abiria ambao wanaenda kutalii ambapo labda hiyo utalii ndio ingekuwa biashara yenyewe labda tusingezihesabia hasara sababu zenyewe ni tool ya kufanya hiyo biashara.

Tofauti ni kwamba hizi ndege zimeletwa ziwe chini ya kampuni ambayo yenyewe inafanya biashara ya air transportation hivyo huo utalii haupo kwenye core business ya ATCL so tutaihesabia hasara au faida kutokana na abiria iliyobeba sio utalii iliyoleta.

Ni sawa uwe na basi la abiria umefanya daladala Ila kila siku halikuletei faida zaidi ya hela yote kuishia matengenezo na madeni juu halafu uihesabie basi linakupa indirect profit sababu unalitumia Kama usafiri kwenda shambani 🤷🤷 hii elimu ya wapi?
 
Kuna mtu hapa anatakiwa kusoma kwa hekima na umakini ili aelewe, yeye anadhani kila mtu ni poyoyo au anampinga mamake.
CM 1774858
Jabali la Siasa

👇🏿
Post ya mtu anayejipiga dole la mdhuti halafu anajinusa. Unaona sisi ni wajinga sana eti indirect profit, hakunaga kitu kinaitwa indirect profit kwenye uchumi hata siku moja.

Kila asset inaponunuliwa itakuwa calculated yenyewe kama inajiendesha kwenye kampuni Ina maana hiyo kampuni itareport loss au profit, period hakuna idirect loss or indirect profit, acha kutuletea umang'aa kawadanganye kijijini kwenu.

Laiti hizi ndege zingekuwa chini ya wizara ya utalii na zikawa hazijawekwa as asset chini ya kampuni labda tungezichukulia kwa namna hiyo lakini pia haziwekwi kwenye mambo yako ya indirect zinaweza kuwekwa Kama asset za kufanya shughuli ya ubebaji abiria ambao wanaenda kutalii ambapo labda hiyo utalii ndio ingekuwa biashara yenyewe labda tusingezihesabia hasara sababu zenyewe ni tool ya kufanya hiyo biashara.

Tofauti ni kwamba hizi ndege zimeletwa ziwe chini ya kampuni ambayo yenyewe inafanya biashara ya air transportation hivyo huo utalii haupo kwenye core business ya ATCL so tutaihesabia hasara au faida kutokana na abiria iliyobeba sio utalii iliyoleta.

Ni sawa uwe na basi la abiria umefanya daladala Ila kila siku halikuletei faida zaidi ya hela yote kuishia matengenezo na madeni juu halafu uihesabie basi linakupa indirect profit sababu unalitumia Kama usafiri kwenda shambani 🤷🤷 hii elimu ya wapi?
 
Post ya mtu anayejipiga dole la mdhuti halafu anajinusa. Unaona sisi ni wajinga sana eti indirect profit, hakunaga kitu kinaitwa indirect profit kwenye uchumi hata siku moja.

Kila asset inaponunuliwa itakuwa calculated yenyewe kama inajiendesha kwenye kampuni Ina maana hiyo kampuni itareport loss au profit, period hakuna idirect loss or indirect profit, acha kutuletea umang'aa kawadanganye kijijini kwenu.

Laiti hizi ndege zingekuwa chini ya wizara ya utalii na zikawa hazijawekwa as asset chini ya kampuni labda tungezichukulia kwa namna hiyo lakini pia haziwekwi kwenye mambo yako ya indirect zinaweza kuwekwa Kama asset za kufanya shughuli ya ubebaji abiria ambao wanaenda kutalii ambapo labda hiyo utalii ndio ingekuwa biashara yenyewe labda tusingezihesabia hasara sababu zenyewe ni tool ya kufanya hiyo biashara.

Tofauti ni kwamba hizi ndege zimeletwa ziwe chini ya kampuni ambayo yenyewe inafanya biashara ya air transportation hivyo huo utalii haupo kwenye core business ya ATCL so tutaihesabia hasara au faida kutokana na abiria iliyobeba sio utalii iliyoleta.

Ni sawa uwe na basi la abiria umefanya daladala Ila kila siku halikuletei faida zaidi ya hela yote kuishia matengenezo na madeni juu halafu uihesabie basi linakupa indirect profit sababu unalitumia Kama usafiri kwenda shambani 🤷🤷 hii elimu ya wapi?
Direct or Indirect Profit means any monetary compensation, other than for the reasonable and actual costs of providing goods, services, supplies, products or equipment (including carrying costs of facilities), whether in the form of a payment, credit, rebate, refund, kick-back, revenue sharing, royalty, profit participation, equity participation, barter consideration in the form of goods or services, or any other device, however denominated, and whether similar or dissimilar to any of the foregoing, received by the Manager and/or any of its Affiliates, directly or indirectly, in any calendar year from or on account of the Gross Operating Revenues from the Hotel. For purposes of this definition, none of the following shall be considered a Direct or Indirect Profit to Manager and/or its Affiliates
 
Kuna mtu hapa anatakiwa kusoma kwa hekima na umakini ili aelewe, yeye anadhani kila mtu ni poyoyo au anampinga mamake.
CM 1774858
Jabali la Siasa

👇🏿
Direct or Indirect Profit means any monetary compensation, other than for the reasonable and actual costs of providing goods, services, supplies, products or equipment (including carrying costs of facilities), whether in the form of a payment, credit, rebate, refund, kick-back, revenue sharing, royalty, profit participation, equity participation, barter consideration in the form of goods or services, or any other device, however denominated, and whether similar or dissimilar to any of the foregoing, received by the Manager and/or any of its Affiliates, directly or indirectly, in any calendar year from or on account of the Gross Operating Revenues from the Hotel. For purposes of this definition, none of the following shall be considered a Direct or Indirect Profit to Manager and/or its Affiliates
 
Kwamsiofahamu faida za ndege duniani kote sio Air ticketing (tiketi) ila ni indirect Profit yaani faida mbadala mathalani Tanzania tayari inahitaji watalii kutoka Duniani kote na kwamsiojua Watalii wanalipa kuliko hii "Air ticketing " mnazozipigia kelele,
Watalii uawategemei ndege za nchi husika ili waweze kuitembelea. Huhitaji ndege (zako binafsi) kutangaza utalii.
 
Sahihi pacha, ila umekuwa adimu sana,
Nyinyi CHAWA mnahangaika sana. Mama anafikiri hizo ndege zinaruka kwa kutumia maji!! Muelimisheni ajue kuwa kuendesha hizo ndege ni gharama kubwa sana tena kwa fedha za kigeni!! Unatuongezea mzigo because of ignorance!!
 
Direct or Indirect Profit means any monetary compensation, other than for the reasonable and actual costs of providing goods, services, supplies, products or equipment (including carrying costs of facilities), whether in the form of a payment, credit, rebate, refund, kick-back, revenue sharing, royalty, profit participation, equity participation, barter consideration in the form of goods or services, or any other device, however denominated, and whether similar or dissimilar to any of the foregoing, received by the Manager and/or any of its Affiliates, directly or indirectly, in any calendar year from or on account of the Gross Operating Revenues from the Hotel. For purposes of this definition, none of the following shall be considered a Direct or Indirect Profit to Manager and/or its Affiliates
Google imewafanya watu wawe wajinga sana eeh!
 
Direct or Indirect Profit means any monetary compensation, other than for the reasonable and actual costs of providing goods, services, supplies, products or equipment (including carrying costs of facilities), whether in the form of a payment, credit, rebate, refund, kick-back, revenue sharing, royalty, profit participation, equity participation, barter consideration in the form of goods or services, or any other device, however denominated, and whether similar or dissimilar to any of the foregoing, received by the Manager and/or any of its Affiliates, directly or indirectly, in any calendar year from or on account of the Gross Operating Revenues from the Hotel. For purposes of this definition, none of the following shall be considered a Direct or Indirect Profit to Manager and/or its Affiliates
Hii haipo unapopiga faida ya ndege kwa kuwa zimekabidhiwa ATCL hatuwezi kuzipigia hesabu .

Basi Kama ndio hivyo nami kwenye faida ya biashara zangu nitaiweka Kama indirect profit, ukienda mashuleni nayo tunaweka ndege Kama indirect profit, mahospitali nk. This is madness 😃😃😃

Yani nikipiga hesabu za profit zangu pale kwenye ka-law firm kangu naiweka na ndege za ATCL Kama sehemu ya profit, hahaha we jamaa yangu achana na haya maneno tufanye ishu nyingine msikilizie spika mpya.
 
Hii haipo unapopiga faida ya ndege kwa kuwa zimekabidhiwa ATCL hatuwezi kuzipigia hesabu .

Basi Kama ndio hivyo nami kwenye faida ya biashara zangu nitaiweka Kama indirect profit, ukienda mashuleni nayo tunaweka ndege Kama indirect profit, mahospitali nk. This is madness 😃😃😃

Yani nikipiga hesabu za profit zangu pale kwenye ka-law firm kangu naiweka na ndege za ATCL Kama sehemu ya profit, hahaha we jamaa yangu achana na haya maneno tufanye ishu nyingine msikilizie spika mpya.
Umeelewa lakini?
 
Back
Top Bottom