PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,199
- 8,761
Leo asubuhi nimesikia kutoka kwenye vichwa vya habari vya Magazeti kuwa deni la ATCL kwenye kampuni ya Airbus, ambao walikuwa wameikodisha ndege ATCL limefikia tshs billioni 39!
Ukiangalia kwa haraka haraka, deni hilo halilipiki kabisa iwapo serikali haitaweka mkono hapo!...
Nina mashaka kama mali (net-worth) zote zinazomilikiwa na ATCL kwa jumla zinafikia thamani hiyo.
Kama serikali ingekuwa inasikia ushauri wa watu, basi mimi naishauri serikali ilifilisi shirika hili kabisa, maana ni Msalaba kwa mlipa kodi.
Uzoefu unaonyesha kwamba mashirika yote ya kiserikali hayana jeuri ya kusimama kwa miguu yao kutokana na shida ya Menejimenti, na ndo maana mengi yao yalifilisiwa .
Hata wakipewa billioni 100 hawa, zitaisha, na shirika litarudi squre-one!
Ukiangalia kwa haraka haraka, deni hilo halilipiki kabisa iwapo serikali haitaweka mkono hapo!...
Nina mashaka kama mali (net-worth) zote zinazomilikiwa na ATCL kwa jumla zinafikia thamani hiyo.
Kama serikali ingekuwa inasikia ushauri wa watu, basi mimi naishauri serikali ilifilisi shirika hili kabisa, maana ni Msalaba kwa mlipa kodi.
Uzoefu unaonyesha kwamba mashirika yote ya kiserikali hayana jeuri ya kusimama kwa miguu yao kutokana na shida ya Menejimenti, na ndo maana mengi yao yalifilisiwa .
Hata wakipewa billioni 100 hawa, zitaisha, na shirika litarudi squre-one!