Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
I really didn't want to get into this but that is the story. Kuna uwezekano mkubwa dege "lenu" lililoanguka huko Mwanza litakuwa written off na kuwa haliweza kutengenezeka tena na hivyo kuongezea matatizo ya ATCL lakini pia kutoa nafasi ya kununua ndege mpya katika mipango ya kujijenga upya.
Habari ndiyo hiyo!
Hivi wewe una matatizo gani? Ku-be written off haimanishi ATCL ku-loose... dege lina BIMA am I right?
Not everywhere politics applies...
bingo!!!! Why would you think they would write it off?
kasheshe politics is everywhere simply because humans are political animals, hata wewe ni political tu!
If technically is beyond repair... it cost much to repair than to go and purchase/hire another aircraft? it is about cost benefit analysis bro.
I repeat NOT POLITICS as you want us to believe!!!
In TZ it is just TOO MUCH to swallow!!!
You can not see things without taking politics into consideration. The last time somebody said something about Cost benefit analysis we bought A320 which we are going lose soon too, built 3 houses for about 3 million USD, and paid Dowans 30 million dollars to ship generators which we are about buy them for 60 million dollars!!
Are you sure the cost benefit analysis was done and due diligence properly done?
It is a concept easier said than done, thus, you have to properly perform independent due diligence to qualify it....
I really didn't want to get into this but that is the story. Kuna uwezekano mkubwa dege "lenu" lililoanguka huko Mwanza litakuwa written off na kuwa haliweza kutengenezeka tena na hivyo kuongezea matatizo ya ATCL lakini pia kutoa nafasi ya kununua ndege mpya katika mipango ya kujijenga upya.
Habari ndiyo hiyo!
Hii ndege si ilikuwa imekodishwa somewhere? mkataba unasemaje? hapo ndo siasa zinapoanzia, kuanzia mkataba wa kimizengwe na mengineyo yanayofanana hivyo.
What if it was done; will that change anything?
yeah yeah yeah.. so lets just agree to write it off and get paid.. and buy a new one.. and lets maintain the status quo. I agree.
Asavali bana maana ilikuwa ni "Flying Coffin"I really didn't want to get into this but that is the story. Kuna uwezekano mkubwa dege "lenu" lililoanguka huko Mwanza litakuwa written off na kuwa haliweza kutengenezeka tena na hivyo kuongezea matatizo ya ATCL lakini pia kutoa nafasi ya kununua ndege mpya katika mipango ya kujijenga upya.
Habari ndiyo hiyo!
Sawa mkuu,
Though as far as I know ATCL have qualified engineer(s), accountant(s) etc... who will be in a good position to do cost benefit analysis etc. and make decision...
This should be internal to ATCL not even to government... and not even supposed to be a JF discussions.
I know.. ndio wale wale ambao hawakusikilizwa kwenye Dash 8, A360!
Sorry to disappoint it, as long as they get money from Tanzanian people.. they are a fair game. So, wewe kaa pembeni sisi wengine tutazikatta issue bila kuwaomba radhi au kuomba kibali.
Over to you mkuu & best wishes
Kasheshe.. ur becoming typical Tanzanian.
Hahaha, of which I am and of course proud of being Tanzanians! Thus why I don't entertain madharau ya wa-Buritishi !!!!