Hivi wewe una matatizo gani? Ku-be written off haimanishi ATCL ku-loose... dege lina BIMA am I right?
Not everywhere politics applies...
Yoo hoo!! I am happy for the National Museum of Tanzania!!
They can finally put an aeroplane on show.
Injinia,
How will they bring it from Mwanza to Shaaban Robert Street?
I really didn't want to get into this but that is the story. Kuna uwezekano mkubwa dege "lenu" lililoanguka huko Mwanza litakuwa written off na kuwa haliweza kutengenezeka tena na hivyo kuongezea matatizo ya ATCL lakini pia kutoa nafasi ya kununua ndege mpya katika mipango ya kujijenga upya.
Habari ndiyo hiyo!
Hivi katika nchi hii kuna institution gani inayokosa qualified people? Mbona kashfa zinaibuliwa kila leo? Au wanaofanya hizo kashfa ni kina nani?Sawa mkuu,
Though as far as I know ATCL have qualified engineer(s), accountant(s) etc... who will be in a good position to do cost benefit analysis etc. and make decision...
This should be internal to ATCL not even to government... and not even supposed to be a JF discussions.
Are you sure the cost benefit analysis was done with proper due diligence ?
It is a concept easier said than done.
Wakuu,
Naomba niweke mambo kwa mtazamo wa kawaida kabisa.
Kwa kawaida mtu au taasisi inayofuta mali (write-off) ni ile ambayo mali hiyo imeorodheshwa katika Balance Sheet yake kama sehemu ya mali inazozimiliki. Kwa haraka-haraka wengi tunajua kuwa ATC ilikuwa ina miliki ndege mbili tu za aina ya B737 moja ikijulikana kama 5H-ATC (Ngorongoro) ambayo nadhani ipo mahali kwa matengenezo kwa kipindi cha muda mrefu sana na nyingine ilikuwa 5H-MRK (Kilimanjaro) ambayo iliuzwa mapema kabla ya ubia na SAA. Baada ya hapo ATC imekuwa ikitumia ndege za kukodi za aina B737 na haijawa na umiliki wa ndege hizo.
Kwa mantiki hiyo basi ATC haihusiki na ufutaji wa aina yeyote wa ndege iliyopata ajali kwani mwenye jukumu hilo ni mwenye mali (Mkodishaji). Hivyo, endapo ndege hiyo itafidiwa bima basi ATC haiwezi kunufaika kwa aina yeyote na fidia hiyo kwani haina benefit au hasara ya moja kwa moja kuhusiana na ndege hiyo.
My take, ATC walikuwa wanaitumia ndege hiyo ikiwa imelipiwa bima yake kama inavyotakiwa. Endapo kama ndege haikuwa na bima basi
violation ya taratibu za usafiri wa anga zitakuwa zimevunjwa kwa kiwango kikubwa...lakini sitegemei kwa jambo hilo kutokea.
Naomba nifafanue kidogo. Ndege iliyopata ajali Mwanza ni ndege ya kukodi (leased aircraft).Sio mali ya ATCL. La hasha. Ndege hiyo ina bima(insurance ) ya kiwango fulani. Ajali ilipotokea mwenye ndege na watu wa bima wamekwenda Mwanza na kuona jinsi ndege ilivyoharibika. Baada ya assesment inaonekana gharama ya kuitengeneza hiyo ndege inakuwa kubwa sana kuliko gharama ya bima (insured value) ya ndege. Gharama inakuwa kubwa kwa sababu imeharibikia Mwanza ambako hakuna vifaa na karakana (kama DAR) hivyo mobilazation ya vifaa inakuwa ya juu sana.
Baada ya kutafakari mwenye ndege na watu wa bima (sio ATCL) wamekubaliana mwenye ndege alipwe bima yake na hivyo ndege itabaki mikononi mwa kampuni ya Bima (Insurance company) ambayo itajua jinsi ya kufanya lakini sana sana ile ndege itauzwa kama scrap kwa ajili ya spea kwa kutangaza tender. This has nothing to do with ATCL. Ni jambo la kwaida sana kwenye mambo ya ndege. ATCL inaweza kukodi ndege nyingine au kununua. Hii ndio maana ya Bima.
Nchi kama Tanzania kumiliki shirika lake la ndege ni Suala la STATUS, na haliepukiki. Litaenda hivyo hivyo hata kama ni kwa kusuasua. Suala la nchi kumiliki/kuwa na hisa katika shirika la ndege ni la KISIASA zaidi.Naumia kichwa nikiona watu wanongelea ATCL. hivi ATCL imeajiri inatumiwa na kutegemewa na watanzania % ngapi.
Ninashangaa Serikali inahagaika kufufua ATCL kama priority badala ya TRL?
Kabla hamjaangali cost benefit analysis ya kununua Ndege angalieni cost benefit analysis ya Shirika lenyewe.
Kama kuumiza kichwa Government iumize kichwa na Reli. ATCL iuzwe 100%.
Ilitengenezwa 1987Mmh yanakuwa hayo tena?kwanini ifikie kiasi hiki?au kuna someting fish naamanisha au kuna mtu anajifanyia kamradi fulani?kaajali kadogo ndege ishindwe kutengenezeka au ilinunuliwa ikiwa mbovu?je ina umri gani tangu inunuliwe?
Nchi kama Tanzania kumiliki shirika lake la ndege ni Suala la STATUS, na haliepukiki. Litaenda hivyo hivyo hata kama ni kwa kusuasua. Suala la nchi kumiliki/kuwa na hisa katika shirika la ndege ni la KISIASA zaidi.