Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Lini umepanda ndege kamanda?si wewe unaandamana nauli za daladala ikipanda?Siwezi acha Emirates au Qatar kabisa nikapanda uwoza huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini umepanda ndege kamanda?si wewe unaandamana nauli za daladala ikipanda?Siwezi acha Emirates au Qatar kabisa nikapanda uwoza huo
Lini umepanda ndege kamanda?si wewe unaandamana nauli za daladala ikipanda?
Wewe ni aina ya kijana alieoa mke kwa utashi wake lakini anampenda zaidi mke wa jirani yake.Ni kweli kabisa, Lakini hiyo siku nitakayo pata nafasi sitofanya makosa kabisa aisee
Wewe ni aina ya kijana alieoa mke kwa utashi wake lakini anampenda zaidi mke wa jirani yake.
Comments na post Kama zako kamwe haziwezi kukufanya uonekane mstaarabu ktk jamii yako.
Nenda Sasa huko Qutar ukapate/ukadai huduma Bora za jamii.
Vzr umenielewa. Choice yako ni mbaya na haikupi heshma mbele ya jamii. Wakati mwingine better to remain silent if you have nothing to share than forcing yourself to comment pointless.Usiumie sana mkuu, ni choice yangu tu
Vzr umenielewa. Choice yako ni mbaya na haikupi heshma mbele ya jamii. Wakati mwingine better to remain silent if you have nothing to share than forcing yourself to comment pointless.
Halafu mwisho wa siku tunalalamika kuwa shirika linajiendesha kwa hasaraAiseee nauli iko vizuri natumai wengi watapendezwa na huduma ili wawe wateja wa kujirudia
Upande ATCL au ukose, shirika linaendeshwa kwa kodi yako..usifikirie unaumiza ATCL, usipopanda serikali itaendelea kuongeza ada za airport kwa mashirika mengine na utalipa tu kwa ticketHuwezi nilazimisha kutumia kitu kisicho na ubora
Upande ATCL au ukose, shirika linaendeshwa kwa kodi yako..usifikirie unaumiza ATCL, usipopanda serikali itaendelea kuongeza ada za airport kwa mashirika mengine na utalipa tu kwa ticket
Kweli ngoja ipae ilikuwa ipae September, November, February, April, June sasa July mwaka mmoja toka iwasili na kupokewa kwa mbwembwe. Safari njema!Hii ni habari nzuri...tunasubiri IPAE tu
Lipia halafu safari inakuwa cancelled, sasa kudai hela yako hapo! Utaambiwa hela yote ishaenda kulipia deni la matibabu ya Ndugai.
Safi nyie ni wazalendo mnafidia nauli ndogo za South.Kwenda kurudi sauzi laki 7, dar-mbeya mnatugonga mpaka laki 6 one-way