*NUKUU*
"Serikali ya awamu ya 5 imefanya uamuzi mgumu wa kulifufua shirika letu la ndege kwa kuamua kununua ndege mpya za kisasa kabisa ambazo zipo kwenye Dunia ya sasa." - Dkt. Hassan Abbas
"Tumeanza kununua ndege mpya 3 za Bombadier ambazo tayari zipo nchini, tunanunua ndege mpya kubwa zaidi aina ya Bombadier C- Series 3 nazo zinakuja mwaka huu." - Dkt. Hassan Abbas
"Tumeagiza ndege mpya kubwa aina ya Boeing Dream Linear yenye uwezo wa kubeba abira zaidi ya 240, yenye uwezo wa kwenda popote pale Duniani." - Dkt. Hassan Abbas
*TAZAMA*
"Serikali ya awamu ya 5 imefanya uamuzi mgumu wa kulifufua shirika letu la ndege kwa kuamua kununua ndege mpya za kisasa kabisa ambazo zipo kwenye Dunia ya sasa." - Dkt. Hassan Abbas
"Tumeanza kununua ndege mpya 3 za Bombadier ambazo tayari zipo nchini, tunanunua ndege mpya kubwa zaidi aina ya Bombadier C- Series 3 nazo zinakuja mwaka huu." - Dkt. Hassan Abbas
"Tumeagiza ndege mpya kubwa aina ya Boeing Dream Linear yenye uwezo wa kubeba abira zaidi ya 240, yenye uwezo wa kwenda popote pale Duniani." - Dkt. Hassan Abbas
*TAZAMA*