ATCL yarudisha safari za Mtwara

ATCL yarudisha safari za Mtwara

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Bombardier zitakuwa zinatoa huduma ya usafiri Dar-Mtwara.

Uzinduzi wa Safari umefanyika leo kwenye uwanja wa Mtwara.

Serikali inatarajia kukarabati miundo mbinu ya uwanja kwa kiasi cha bilioni 10.

HAPA KAZI TU
 
Hawa wamakonde wameshindwa kuzijaza bus za machinga na majinjah,Je ndege wataweza kuzijaza
 
Back
Top Bottom