ATCL yatengeneza faida ya Bil 1.5

ATCL yatengeneza faida ya Bil 1.5

Kwa maana hiyo wamezalisha ziada ya zaidi ya bilioni 170 ili ku break even then wameanza kupata faida na kilipa Kodi na gawio kwa muda mfupi huu[emoji123]

This is too god to be true!!

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kumbuka ndege hizi ni tangu 2017 na kumekuwa na hasara zaidi ya billioni 500 tangu hapo hayo mambo ya kubreak even hata kuyaota bado. Tunaambiwa kuna madeni kibao na bado uwezo wa ATCL kujiendesha yenyewe bila ruzuku ni 97% tu hiyo nyingine 3% inatoka wapi! ATCL ni mzigo mzito kwa wananchi! Akina Magufuli wanajua walifaidika vipi na ununuzi wa madege hayo.
 
Mtaalamu wa mambo ya anga achana na malori au nayo huwa yanaruka angani, nahitaji uchambuzi wako katika anga maana umebobea huko.

Hebu hiyo 150 billion unaweza kutupatia breakdown yake kwa 12 fleets inavyoweza kutengenezwa.

Natanguliza shukrani Mkuu.
Wee sikia acha mambo mengi, kama malori 40 yanaingiza 1.5 b kwa mwezi profit kweli ni halali midege 12 kati yake zipo Airbus na Dreamliners kuingiza kiasi hicho hicho? Kweli?
 
Faida ni nini na inahesabiwa vipi ?

Haya mambo bila kufanya surgical investigation ni vipi kuelewa kama definition ya anayeambiwa ni sawa na yule anayesema...
 
Vichekesho vya awamu ya sita hivi..maana hapa Tanzania kila awamu ina vichekesho vya aina yake
 
Ndege zaidi ya 12 faida billion 1.5 hata mabasi ya Abood yanawazidi ATCL!
Bora ingekuwa hivyo kama kweli faida hii ingekuwa ni kweli basi ningeshukuru (sababu kuna faida nyingine zinaweza kupatika ambazo sio monetary)...

Lakini hapo ukifanya due diligence na kuweka mambo ya vitu kuharibika, lifespan,. vipuri n.k. Amini nakwambia sidhani kama kuna monetary faida yoyote sanasana ni ukubwa wa hasara tu (usiwe mkubwa sana) baada ya hizo ndege kuwa ma-screpa, zitakuwa zimetengeneza pesa ya kununua nyingine ?!!!!
 
Wee sikia acha mambo mengi, kama malori 40 yanaingiza 1.5 b kwa mwezi profit kweli ni halali midege 12 kati yake zipo Airbus na Dreamliners kuingiza kiasi hicho hicho? Kweli?
😆😆😆😆
 
Wee sikia acha mambo mengi, kama malori 40 yanaingiza 1.5 b kwa mwezi profit kweli ni halali midege 12 kati yake zipo Airbus na Dreamliners kuingiza kiasi hicho hicho? Kweli?
Narudia tena wewe ni mtaalamu wa anga malori hayaruki hewani, hebu tupe uchambuzi katika anga mambo yapoje kutengeneza hiyo Profit ya 150bn, samahani kwakukusumbua Mtaalam ni katika kutafuta elimu tuu na ujuzi wako katika masuala ya anga.
Ukiniuliza mimi ni halal ama si halal sio sawa Mkuu wewe ndo mbobezi wa anga, umekuja na profit ya 150bn tufafanulie.
 
Back
Top Bottom