ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa

ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Chanzo: Star tv habari
 
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu
1. Hawakujua kuwa muda huo watepeleka karakana?
2. Kwanini wanuza tiketi ilhal wanajua hapatakuwa na ndege?
3. Ile airbus imenunuliwa na Ikulu rasmi?

Na kwanini rais atumie airbus wakati kuna ndegevya rais?
 
Hizo ndege huwa zinaagizwa moja baada ya mwaka mmoja, sijawahi kuona ndege tatu zimeagizwa kwa pamoja.

Kama walijua muda wa matengenezo unakaribia kwanini wasingepeleka baadhi huku nyingine zikiendelea na schedule? Wao wanasubiri muda ufike wapeleke zote kwa pamoja.

Hiyo kampuni itafutwe management yenye akili iiendeshe, hata kama ikibidi waajiriwe watu toka nje, vinginevyo hasara hapo hazitaepukika, waliopo wanajua kilipana posho tu.
 
Siku moja natamani niende pale ATCL makao makuu, nionane na director mkuu, nimkate jicho moja kali kwa sekunde hata 20 hivi halafu nimsonye nakuondoka bila kusema lolote at least nijisikie na mimi nilimuonyesha hasira zangu.
 
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
ATCL yani hamna ratiba kwamba marekebisho ni lini ndani ya mwaka mzima ,hatari hii
 
1. Hawakujua kuwa muda huo watepeleka karakana?
2. Kwanini wanuza tiketi ilhal wanajua hapatakuwa na ndege?
3. Ile airbus imenunuliwa na Ikulu rasmi?

Na kwanini rais atumie airbus wakati kuna ndegevya rais?
Ndege zote ni za serikali bwashee!
 
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
ANY TIME CANCELLED LIMITED (ATCL) is back!!
 
1. Hawakujua kuwa muda huo watepeleka karakana?
2. Kwanini wanuza tiketi ilhal wanajua hapatakuwa na ndege?
3. Ile airbus imenunuliwa na Ikulu rasmi?

Na kwanini rais atumie airbus wakati kuna ndegevya rais?
Njia ya muongo ni fupi! Waache wademke!
 
Hizo ndege huwa zinaagizwa moja baada ya mwaka mmoja, sijawahi kuona ndege tatu zimeagizwa kwa pamoja.

Kama walijua muda wa matengenezo unakaribia kwanini wasingepeleka baadhi huku nyingine zikiendelea na schedule? Wao wanasubiri muda ufike wapeleke zote kwa pamoja.

Hiyo kampuni itafutwe management yenye akili iiendeshe, hata kama ikibidi waajiriwe watu toka nje, vinginevyo hasara hapo hazitaepukika, waliopo wanajua kilipana posho tu.
Waongo hawa, ni poor management, kama ndege zote ziko service kwanini wakate tiketi?! Ni akili ya kiccm tu wanademka!
 
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
JamiiForums-2039922346.jpg
 
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
Tulipokuwa tunanunua mijindege cash kwa mkupuo hatukuwaza kuwa zitaenda kwa mkupuo kwenye matengenezo makubwa? Na hili litajirudia mara kwa mara.
Nchi hii haina think tanks kabisa.
 
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
Hii ni LAME excuse!!! Kwani zikinunuliwa pamoja lazima ziende matengenezo pamoja? Si service inategemeana na mileage covered au? Au pale inapotokea dharura. Sitashangaa hili shirika kufa any time soon. Naona tayari liko ICU. Sad indeed.
 
Hii ni LAME excuse!!! Kwani zikinunuliwa pamoja lazima ziende matengenezo pamoja? Si service inategemeana na mileage covered au? Au pale inapotokea dharura. Sitashangaa hili shirika kufa any time soon. Naona tayari liko ICU. Sad indeed.
Soon zitataga zote..what a big loss
 
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
Sema ndege ziko kwenye shughuli za kisiasa, moja mama kajimilikisha
 
Back
Top Bottom