ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa

Siku moja natamani niende pale ATCL makao makuu, nionane na director mkuu, nimkate jicho moja kali kwa sekunde hata 20 hivi halafu nimsonye nakuondoka bila kusema lolote at least nijisikie na mimi nilimuonyesha hasira zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , sikufanikiwa kutazama Star TV, hivyo hii story sikuiona, ila nadhani kuna slight mistake kwa jina la msemaji wa ATCL, jina sahihi ni Josephat Kagirwa na sio Josephat Mwingira.

Ila ATCL ni shirika letu na ndege zake ni ndege zetu, pamoja na changamoto zake zote, tuendelee kulipenda
p
 
Amina mkuu!
 
1. Hawakujua kuwa muda huo watepeleka karakana?
2. Kwanini wanuza tiketi ilhal wanajua hapatakuwa na ndege?
3. Ile airbus imenunuliwa na Ikulu rasmi?

Na kwanini rais atumie airbus wakati kuna ndegevya rais?
Hilo ka kuuza Tiketi wakati wakijua ndege hakuna, ni wizi na utapeli. Tunahitaji mjuaji mmoja tu aishitaki ATCL mahakama za majuu, ndio watashika adabu yao
 
Kukosoa haimaanishi kutopenda, na kwa kweli ni kupenda sana. Mama anayemcharaza viboko mwanaye, anampenda sana, na ndio maana anachukua hatua muhimu
 

Pascal mimi nakuheshimu kwa miaka mingi sana kaka back 27 years ila kwenye hili hebu kuwa a bit subjective.
This is business regardless ni shirika letu ama la hata kama ATCL if it were our family business I would still react to Mr Josepht Kagirwa.

Kwa ujumla yeye ametuelezea tatizo linalosababisha delays na cancellation which is NON of our business. Yani this guy ni kama vile anataka na sisi tuwe part ya tatizo kwamba tuelewe hili tatizo litakuwepo sababu walinunua ndege kwa mkupuo!!! HALOOOOOOOOOOO.

Pascal please chunga heshima yako kwenye hili na wewe usiwe cheap kama bwana Kagirwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…