Ateba achungwe sana...

Ateba achungwe sana...

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Huyu “ATEBA” wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCCL. 🙄📌
74237009-D076-44BD-BE28-A3C5063F4B34.jpeg
 
Huyu “ATEBA” wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCCL. 🙄📌View attachment 3104225
Ni kawaida sana kwa mashabiki wa Simba ndio maana wakaitwa mbumbumbu. Onana alifunga goli mbili dhidi ya Wydad wakaimbishwa wimbo mpya wa kumuona ni bonge la straika na ikafikia hatua hadi kuomba msamaha kwa Onana kwa kumkosoa
 
Uto watapinga hadi liwakute Jambo. Bado wandhani kuna wala rushwa pale simba
 
Back
Top Bottom