Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CAFCL wapi ww😂 ni CAFCC Usipende ukubwaHuyu “ATEBA” wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. 🙄📌View attachment 3104225
Ni CAFCL au CAFCCL?Huyu “ATEBA” wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. 🙄📌View attachment 3104225
Acha kuota. Simba haiko CAFCL.Huyu “ATEBA” wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. 🙄📌View attachment 3104225
Heee....Yanga wameanza mbinu za kutaka kupangiwa timu mbovubovu makundi
Na hii ni maana haswa ya utopwinyoAna kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale?
Na Elimu ni bure/ Education is not for sell! @ Kazi kweli kweli/ Job true trueNi CAFCL au CAFCCL?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ni kawaida sana kwa mashabiki wa Simba ndio maana wakaitwa mbumbumbu. Onana alifunga goli mbili dhidi ya Wydad wakaimbishwa wimbo mpya wa kumuona ni bonge la straika na ikafikia hatua hadi kuomba msamaha kwa Onana kwa kumkosoaHuyu “ATEBA” wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCCL. 🙄📌View attachment 3104225
Kwani angekuwa mzize angefunga pale ?😀Ana kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale?
Wale akina Mzize na Dube wa kukosa nafasi 7 za wazi, Kisha kufunga nafasi ya 8 pale wangekosa.Ana kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale?
Mzize kafunga magoli magumu zaidi ya Ateba.Kwani angekuwa mzize angefunga pale ?😀
Ndivyo unavyojidanganya!??Wale akina Mzize na Dube wa kukosa nafasi 7 za wazi, Kisha kufunga nafasi ya 8 pale wangekosa.
Ila kwa Ateba ukijichanganya kosa moja tu, anakuadhibu.