CAFCL wapi wwπ ni CAFCC Usipende ukubwaHuyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. ππView attachment 3104225
Ni CAFCL au CAFCCL?Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. ππView attachment 3104225
Acha kuota. Simba haiko CAFCL.Huyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCL. ππView attachment 3104225
Heee....Yanga wameanza mbinu za kutaka kupangiwa timu mbovubovu makundi
Na hii ni maana haswa ya utopwinyoAna kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale?
Na Elimu ni bure/ Education is not for sell! @ Kazi kweli kweli/ Job true trueNi CAFCL au CAFCCL?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ni kawaida sana kwa mashabiki wa Simba ndio maana wakaitwa mbumbumbu. Onana alifunga goli mbili dhidi ya Wydad wakaimbishwa wimbo mpya wa kumuona ni bonge la straika na ikafikia hatua hadi kuomba msamaha kwa Onana kwa kumkosoaHuyu βATEBAβ wamchunge sana ataua wengi sana msimu huu katika NBC Premier League na hii michuano ya CAFCCL. ππView attachment 3104225
Kwani angekuwa mzize angefunga pale ?πAna kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale?
Wale akina Mzize na Dube wa kukosa nafasi 7 za wazi, Kisha kufunga nafasi ya 8 pale wangekosa.Ana kipi cha ziada? Goli alilofunga kapewa na beki wa Ahly, ulitaka afanyaje pale?
Mzize kafunga magoli magumu zaidi ya Ateba.Kwani angekuwa mzize angefunga pale ?π
Ndivyo unavyojidanganya!??Wale akina Mzize na Dube wa kukosa nafasi 7 za wazi, Kisha kufunga nafasi ya 8 pale wangekosa.
Ila kwa Ateba ukijichanganya kosa moja tu, anakuadhibu.