Jamani naomba kuuliza kuna athali kwa uvutaji bangi wa mara chache tu..mimi huwa navutaga bangi nikiwa na metch adimu sana..sasa vipi naweza pata madhara gani?
bangi ile inakutoa dhamani yako mkuu achana nahayo mataka taka.
mazoeya nikitu kibaya sana .ukijizoesha tena ujinga kama huo wakujiwekea msokoto ni mbaya sana yani. unakutoa ubinadamu wakawaida nakuonekana binadamu aliye kengeuka yani waki mwehu mwehu ujinga ujinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.