Athari mbaya 'energy saver bulbs' zinapopasuka

yeah,kuna Energy savers fulani za kichina kubwakubwa ivi ni balaa. Zinaburst kama bomu!
 
zebaki ni hatari sana.ingefaa kama wangeweka japo warning notice watu wachukue tahadhari
 
Dunia ya sasa kila kitu kina madhara mungu tuu anatulinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…