Bujibuji sifanyi utani, hizo ni taarifa za kisayansi la maana sio kuzipotezea ni kujaribu kuupata ukweli. Bazazi naendelea kufuatilia katika mitandao mbalimbali kuupata ukweli katika rangi yake na kuumwaga jamvini.Hizo baiskeli zimekaeje hadi binti apoteze uanawali wake? Stori za vijiweni bwana.................
Wi-Fi kwani Bodaboda inahusisha kuzungusha pedeli? Bodaboda zina athari kwa wanaume kuzichemsha shahawa hivyo kutokuwa na uwezo wa kutungisha mimba. Kwa kawaida joto la korodani huwa chini kidogo kuliko la sehemu nyingine za mwili na ndio sababu wakati wa joto hushuka chini.vipi bodaboda? naona ndo dili kwa vijana wa kike na kiume huku mtaani
WanaJamvi,
Kuna taarifa toka kwa wanasayansi. Wamedai wamefanya utafiti na kuthibitisha kuwa uendeshaji wa baikeli wa muda mrefu (regular bicycle riders) una athari mbaya kwa wanawake katika mahusiano ya kimapenzi.
Wanasayansi wanadai kuwa wanawake hao hukumbwa na tatizo la kushindwa kufika kileleni/mshindo (orgasm). Chanzo cha taarifa hakikusema ni kwanini wanashindwa kuufurahia uboo.
Tafadhali wanaume wa JF tuwatahadharishe wake zetu kuhusu mazoea ya kupitiliza ya kuendesha baiskeli.
Nawasilisha,
Bazazi!
ungeza bidii ukiwa na mkeo badala ya kutoa visingizio (not aimed at anyone in particular)
Mtoboasiri usijaribu kunirudisha jela Bana! Niache niifurahie JF ndugu yangu.Ama kweli wewe ni bazazi!
Mtoboasiri usijaribu kunirudisha jela Bana! Niache niifurahie JF ndugu yangu.
Ndimi Muungwana Bazazi!