Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,485
WanaJamvi,
Kuna taarifa toka kwa wanasayansi. Wamedai wamefanya utafiti na kuthibitisha kuwa uendeshaji wa baikeli wa muda mrefu (regular bicycle riders) una athari mbaya kwa wanawake katika mahusiano ya kimapenzi.
Wanasayansi wanadai kuwa wanawake hao hukumbwa na tatizo la kushindwa kufika kileleni/mshindo (orgasm). Chanzo cha taarifa hakikusema ni kwanini wanashindwa kuufurahia uboo.
Tafadhali wanaume wa JF tuwatahadharishe wake zetu kuhusu mazoea ya kupitiliza ya kuendesha baiskeli.
Nawasilisha,
Bazazi!
Kuna taarifa toka kwa wanasayansi. Wamedai wamefanya utafiti na kuthibitisha kuwa uendeshaji wa baikeli wa muda mrefu (regular bicycle riders) una athari mbaya kwa wanawake katika mahusiano ya kimapenzi.
Wanasayansi wanadai kuwa wanawake hao hukumbwa na tatizo la kushindwa kufika kileleni/mshindo (orgasm). Chanzo cha taarifa hakikusema ni kwanini wanashindwa kuufurahia uboo.
Tafadhali wanaume wa JF tuwatahadharishe wake zetu kuhusu mazoea ya kupitiliza ya kuendesha baiskeli.
Nawasilisha,
Bazazi!