Athari za kiuchumi zitokanazo na nchi kuwa na mfumo mbovu wa utoaji haki ikiwemo ukosefu wa Uhuru wa Mahakama

Athari za kiuchumi zitokanazo na nchi kuwa na mfumo mbovu wa utoaji haki ikiwemo ukosefu wa Uhuru wa Mahakama

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Nitaandika kidogo lakini kwa mwandiko uliokolea , nitaandika Kwa ajili ya watu wenye akili zakupambanua mambo na siyo kwa wanaosubiri siku zipite wazeeke. Naandika kwa watu wenye macho ya ujasusi wa kidiplomasia na siyo wenye ujasusi wa jinai unaoongozwa na nguvu nyingi akili kisoda. Twende KAZI

1. Nchi kuwa na wawekezaji ni jambo la kawaida Duniani kote now days bila kujali utulivu au amani ya nchi husika.Wawekezaji wanatafuta rasilimali,Duniani rasilimali ni chache hivyo ukiwa na rasilimali kama ilivyo Tanzania wageni watakuja tu Tena Kwa wingi.

2. Kuwa na wageni wengi kunasisimua uchumi Kwa SABABU ya uwekezaji wanaofanya, lakini pia wanakuja na mitaji katika mfumo wa Dola na hivyo kuboost hifadhi ya Fedha za Kigeni.

3. Lakini tujiulize ni Mbinu Gani utumika kuwafanya wawekezaji watumie kiasi kikubwa Cha Fedha zao ndani ya nchi? Kitu pekee kinachovutia watu kutumia kiasi kikubwa Cha Fedha kwenye nchi ya Kigeni ni usalama wao na Mali zao. Jambo pekee linaloweza ku
 
Sisi hatuna nchi. Tuna kichaka cha wachache kujinufaisha. Kama una akili ni afadhali ukatafuta mahali salama pa kuitumia vizuri zaidi. Usijihangaishe na ardhi ambayo haikunufaishi bali inakuumiza na kukudhalilisha.

Siku hizi dunia inahitaji wenye akili wazitumie popote without borders. Ukijiloga na kuwaza sana kuhusu mambo yasiyo halisia utaumia sana.

Kasome takwimu. Zile valuable resources za Tanzania hii, madini, wanyama, samaki (minofu), na kila kilicho kizuri kipo mikononi mwa nani? Ukipata jibu, utaanza kuandaa mabegi yako ukazitumie akili kule zinakohitajika.

Nchi, na mipaka na mifumo inakupa FALSE HOPES ili na wewe ujione binadamu. Lakini ukweli ni kuwa sisi tu watumwa na manyapara wetu ni hawa wanasiasa tunaoaminishwa kuwachagua.
 
Nitaandika kidogo lakini kwa mwandiko uliokolea , nitaandika Kwa ajili ya watu wenye akili zakupambanua mambo na siyo kwa wanaosubiri siku zipite wazeeke. Naandika kwa watu wenye macho ya ujasusi wa kidiplomasia na siyo wenye ujasusi wa jinai unaoongozwa na nguvu nyingi akili kisoda. Twende KAZI

1. Nchi kuwa na wawekezaji ni jambo la kawaida Duniani kote now days bila kujali utulivu au amani ya nchi husika.Wawekezaji wanatafuta rasilimali,Duniani rasilimali ni chache hivyo ukiwa na rasilimali kama ilivyo Tanzania wageni watakuja tu Tena Kwa wingi.

2. Kuwa na wageni wengi kunasisimua uchumi Kwa SABABU ya uwekezaji wanaofanya, lakini pia wanakuja na mitaji katika mfumo wa Dola na hivyo kuboost hifadhi ya Fedha za Kigeni.

3. Lakini tujiulize ni Mbinu Gani utumika kuwafanya wawekezaji watumie kiasi kikubwa Cha Fedha zao ndani ya nchi? Kitu pekee kinachovutia watu kutumia kiasi kikubwa Cha Fedha kwenye nchi ya Kigeni ni usalama wao na Mali zao. Jambo pekee linaloweza ku
Athari za kiuchumi ni pamoja na wawekezaji kukosa Imani na mfumo wa utoaji haki, mfano waliinyanyaswa na kufilisiwa kimazabe awamu Ile babe.
 
Back
Top Bottom