Athari za kufanya mapenzi na watu usiowafahamu vizuri..........

Umeona kua sijakosea njia eeh.... huyo dada itabidi nijipendekeze urafiki nimsaidie kumpandisha hiyo self esteem ili tumrekebishe huyo mwanaume, kumuacha hatumuachi lakini umalaya tunaupunguza...

Nimesha anza mbona kidogo kidogo. Yaani mpaka naogopa mumewe asije nichukia maana wife ana change kweli toka tumekuwa close. Nilimfanya amwakie kimada mmoja. Nilimwambia upole wako watu watakutovoga mpaka macho. we, kuna siku kawasha moto mpaka mwalimu mwenyewe niliogopa maana alinizidi hata teacher.
 



LOL.... watakutovoga - hili neno sijasikia siku nyingi kweli...

Afadhali usimkatie tamaa huyo mdada, kazana mpaka kieleweke.
 
naona kina baba wameamua kushambulia humu,sijui wao huwa wanaiba vya wanyama au hawa hawa binadamu nyama za watu tunazojua.
 

hiyo ilikuwa ni adhabu tosha kwa wanawake hao..............................
 
ndo hapo halafu wanasahau wanawake wamepewa akili za ziada hawafanyi kama wao wanavojianika.


hivi mume wa mtu kuenda kuuza/cheating ilihalalishwagwa eeh?mnijuze plz,mie mgeni hapa:frusty:
 
Hakuna cha ndoa siku hizi. Kila mtu msanii. Uaminifu na kuaminiana ni vitu vya kufikirika tu na siku zote huwaga ni siri ya mtu moyoni mwake mwenyewe. Kubali/ kataa huo ndo ukweli wenyewe.
That is why only fools may trust their partners, though it is a wise attitude....!
 


Jamani Danzi popote pale ulipo bado nakutafuta ......
 
Hawa ndio kina Mchomvu wanawaita Jonii...inakuaje we mke wa mtu unavua nanii halafu unananii na kina nanii? Hizi story ziishie hapa ila tubadili mwenendo wa maisha yumkini ni Israel ameamua kuja kwa mfumo wa kianasa!...pia ya kutaja wajihi wa mtu ni kuharibu mwenendo wa upelelezi kwa kua jamaa anaweza kujibadili,nafikiri mzee kova kapitiwa kidogo!
 
Wapo ambao kutokaa na kubanwa kiuchumi inabidi iwe bora liende....................na matokeo yake ni kuwa wanaweka masiha yao kwenye eneo hatarishi kwa sababu serial killers are running loose looking for an opportunity ti strike..............
 
Kama ndio siku yako huwezi kimbia kifo...
na kuna adhari hata kufanya mapenzi na unaowajua..
 
Hakuna cha ndoa siku hizi. Kila mtu msanii. Uaminifu na kuaminiana ni vitu vya kufikirika tu na siku zote huwaga ni siri ya mtu moyoni mwake mwenyewe. Kubali/ kataa huo ndo ukweli wenyewe.

Usi-generalize ndugu, tupo waaminifu. Kama wewe si mwaminifu ni wewe tu ndugu.
 
hivi hii thread ilinipita pita vipi???????dah.......
 
Mbona badala ya kuonea huruma victims mmekazana kuwalaumu wanawake wanaotoka nje, mbona wanaume ndo zaidi?
lakini kweli unafanya vp mapenz na mtu humjui? Hawaogop gonjwa?
 
mie bado siamini kuwa kuna mtu ataweza kuingia guest na mtu aliyekutana naye siku ya kwanza tu,huyo mtu anajulikana kwa hao victims pengine anaishi local,na ana mazoea nao......

Una umri gani weye Roselyne1.................unahitaji ushahidi watu tuingie kazini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…