Athari za kuibuka kwa madhehebu kila leo

Athari za kuibuka kwa madhehebu kila leo

Joined
Apr 25, 2023
Posts
6
Reaction score
9
Kilichotokea Kenya huenda kikatokea Tanzania pia lakin kwa njia ya tofauti maana wamama wengi ni wanakunywa mafuta ya upako

Nimesema wamama kwa sababu ndo wafuasi wengi wa hzi mamb kuliko wanaume. Mafuta yenyew hatujui yametoka wapi TFDA wapo na hawajaliona hili.

TBS wapo wamekaa kimya kujua ubira wa mafuta haya na TRA wapo hawajaona kwamba kuna kodi yetu hapa kwa huyu mfanyabiashara wa mafuta ya upako anaetumia jina la mtume/kanisa kukwepa kodi😀😀

Na sio mafuta tuu kuna maji ya upako pia nayo hatujui yanazalishwa wapi na yana ubora gan na serikali inapata vipi kodi kutoka kwa huyu mfanyabiashara.
 
Maji ya upako ndio haya haya ya AFYA UHAI
Ni vile yanatoka kwa mtumishi watu wanayafakamia mtu ananunua catons anapeleka home.

Chumvi ni hizi hizi za madukani

Lakini kama kwa neno la Mungu hubadilika na kuwa na upako kwanini tudibadilishe wenyewe vya nyumbani??

Hata hivyo imani kila mtu hushika yake
So tuache kila mtu aamini lake

INSTAGRAM @dollrubii_decors
 
Maji ya upako ndio haya haya ya AFYA UHAI
Ni vile yanatoka kwa mtumishi watu wanayafakamia mtu ananunua catons anapeleka home.

Chumvi ni hizi hizi za madukani

Lakini kama kwa neno la Mungu hubadilika na kuwa na upako kwanini tudibadilishe wenyewe vya nyumbani??

Hata hivyo imani kila mtu hushika yake
So tuache kila mtu aamini lake

INSTAGRAM @dollrubii_decors
Hata hawa wakenya waliachwa wakaamini ya kwao lakini sasa hvi familia zao zinahangaika watoto wameachwa yatima...
dollrubii_decors
 
chupi, keki za upako mbona hamjasema? Watu wamepoteza matumaini huko wanakosali wanaona bora wakanywe mafuta huenda shida zao zikaisha. Wanakotoka ni kubaya na wanakoenda wanakutana na vitu vya ajabu. Hakuna wa kuwahubiria habari njema za ukombozi wao
 
Back
Top Bottom