mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
hahahahaaWatu wa design yako mnatabia ya kutooga pia
Wataalamu walishakokotoa na kukuta kwamba ili kupata mahitaji halisi ya maji kila siku lazima kuendane na uzito wa MTU.Walipata constant figure ya 0.04 unazidisha na uzito wa mtu unapata lita za maji kwa siku. Kwa mfano kama una uzito wa kilo 100 basi inatakiwa unywe siku nzima Lita 4, yaani 0.04 x kilo 100= Lita 4.Na wasi wasi na ngozi yako, itakuwa kama mamba.. Mimi nakunywa Lita sita per day sometimes mbk nane.
Ni mara chache sana kujisikia kiu aghalabu ninaposhituka usinhizini usiku ila sio mchanaNa hauhisi kiu?
Ni mara chache sana kujisikia kiu aghalabu ninaposhituka usinhizini usiku ila sio mchana
Mma polelo. Nsekile mwee!!!Unajiletea shida aisee,chooni lazima utakuwa unashikilia nguzo