mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Habari waungwana.
Naomba kuambiwa kiutalamu athari za kutokunywa maji ya kutosha mwilini kwa hakika nahisi niko na marazi siwezi ( sipendi) kunywa maji hata kidogo naweza kupitisha week bila ya kunywa maji kama nitakunywa maji ni kikombe 1 cha chai tuuu kwa siku ama 2 sasa wengi wananiambia kua ni hatari ila sijui kwa vipi na ni vipi nifanye kuepuka kadhia hio.
Sina kawaida ya kutoka jasho wala kuona joto mwilini
Naomba mnisaidie
Naomba kuambiwa kiutalamu athari za kutokunywa maji ya kutosha mwilini kwa hakika nahisi niko na marazi siwezi ( sipendi) kunywa maji hata kidogo naweza kupitisha week bila ya kunywa maji kama nitakunywa maji ni kikombe 1 cha chai tuuu kwa siku ama 2 sasa wengi wananiambia kua ni hatari ila sijui kwa vipi na ni vipi nifanye kuepuka kadhia hio.
Sina kawaida ya kutoka jasho wala kuona joto mwilini
Naomba mnisaidie