Athari za kutumia njia za uzazi wa mpango za kisasa

No 11 kuwa hotel ya majini
Hii sijaielewa kwakwel
Naomba urudi nyuma nimeifafanua,n hv damu na vichanga n chakula cha majini na wachawi angalia wanawake n wengi wanao teswa n mapepo kuna % inayo changiwa hii kitu ,kwanza inatoka damu yenye vibonge siyo bahati mbaya n KW sbb imechanganyika na kiumbe ukiitupa haiishii hapo kw wenzako ni mali
 
Sorry hapo unakua muuwaji how na akati umejikimgamkuu

Imekuaje mkuu tunaomba ushee kwa kifupi tuuu
Yai+mbegu ni kiumbe hvyo kinacho fanyika ni uharibifu baada ya mimba kutungwa,sekunde tayari n kiumbe yai likisha rutubishwa
 
Mkuu sionkwamba anamaanisha papuchi inalowesha mashuka yote kwa hiyo unakula mlo ukiwa majini na sio majini viumbe !
Hapana boss ,damu na vichanga ni chakula cha wachawi NA majini
 
Hapana boss ,damu na vichanga ni chakula cha wachawi NA majini
Asanteni naona maswli nimeyajibu,japo KW kuchelewa n kw ufupi,Nina deni kwenu nalo no kuweka natural family plan mungu akipenda,asanteni wote .
 
Calendar ni nzuri tu kama siku hazi fluctuate mwezi huu 24, mwingine 25 mwingine 28 vinginevyo hatari ya ujauzito ni kubwa sana. Na hii ya kupiga goli nje nayo ni ngumu sana pale utamu unapokolea kupita kiasi na mtu anakulilia usichomoe usichomoe na kama kifo cha mende amekupiga kabari ya miguu mgongoni huku kakukumbatia na makucha juu akitaka kuendelea kusikilizia utamu mtakatifu na njemba inatii amri hivyo kutuchomoa na kuendeleza mashambulizi makali sana.

Mkishamaliza ndiyo mnaanza kuwaza na kuwazua kama je, mmetengeza kiumbe ama mko salama? Aliyekuja na hili neno UTAMU hakukosea kabisa na ndiyo sababu wake kwa waume wanaua wabaya wao kwa utamu wao kuonjwa na mwingine na wengine kuutegesha utamu wao ili ukigusa tu basi mnasane lol!

Kalenda siku ukiona inazingua option ninayoona ni nzuri ni hiyo ya kutoa nje, ila inahitaji mtu muelewa na smart maana risk ni kubwa.
 
swali hapo namba 10 weka wazi
 
Kalenda njia nzuri wote wawili mkikubaliana iwe njia yenu ya uzazi wa mpango.....haina madhara yoyote
 
Kiukweli mi siwashauri wagonjwa wangu hususani wale wasio na watoto kabisaaa
 
Hahahaha nimecheka sana na ulivyoielezea sasa, Ukweli usemacho ni sahihi sana lkn inawezekana tu mkiamua binafsi zimekuwa njia zangu miaka yote. Halafu mwambie Bubu Ataka Kusema namsalimia sana sana na kwa nini siku hizi haweki nyimbo?
 
Reactions: BAK
Jamaa anataka kutuletea mafundisho ya kikatoliki hapa coz mbegu sio watoto and if it is a case inamaana hata hao hata hizo njia za asili ni uuaji sababu sio kila mbegu inarutubishwa/rutubisha
 
[emoji28][emoji28][emoji28]Naye anasema anakusalimia sana. Anasema pita mtaa huu labda baadhi ya nyimbo utazipenda.

Music makes us feel good

Hahahaha nimecheka sana na ulivyoielezea sasa, Ukweli usemacho ni sahihi sana lkn inawezekana tu mkiamua binafsi zimekuwa njia zangu miaka yote. Halafu mwambie Bubu Ataka Kusema namsalimia sana sana na kwa nini siku hizi haweki nyimbo?
 


Kwa sabau ya athari no: 10 Hapo juu "Kuwa hotel ya majini" - THEN ANDIKO LAKO lote linakosa UHALALI.
 

mkuu toa suluhisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…