lonewolf ranger
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 476
- 149
Chafya ni tendo lisilo la hiyari linalosaidia kusafisha njia ya hewa (pharynx). Hewa inayotolewa wakati wa kupiga chafya ina kasi mwendo (speed) wa 100mph (mile per hour) na pia moyo husimama kwa mda wakati wa kupiga.
Unapozuia chafya husababisha mgandamizo (pressure) mkubwa hasa kwenye ubongo, mapafu, mishipa ya damu na masikio.
Athari za kuzuia chafya ni kubwa sana ikiwemo;
- Kupunguza uwezo kusikia
- Kupasuka ngoma ya sikio(hii hutokea sana)
- Kuvuja damu katika ubongo (brain haemorrhage) baada ya mishipa iliyopo kwenye ubongo kupasuka, nyufa au kuvunjika mbavu
Pia kifo (mara chache).
NB: unapojisikia chafya piga tu but in good manner.
Unapozuia chafya husababisha mgandamizo (pressure) mkubwa hasa kwenye ubongo, mapafu, mishipa ya damu na masikio.
Athari za kuzuia chafya ni kubwa sana ikiwemo;
- Kupunguza uwezo kusikia
- Kupasuka ngoma ya sikio(hii hutokea sana)
- Kuvuja damu katika ubongo (brain haemorrhage) baada ya mishipa iliyopo kwenye ubongo kupasuka, nyufa au kuvunjika mbavu
Pia kifo (mara chache).
NB: unapojisikia chafya piga tu but in good manner.