Athari za Majaji walioteuliwa na Hayati Magufuli

Athari za Majaji walioteuliwa na Hayati Magufuli

Kwanini walioteuliwa na Magufuli hsiwafananishe na wa Kikwete, Mkapa na Mwinyi!

Why Magufuli vs Nyerere?

Kwamba walioteuliwa na hao watatu wanatenda haki? au hao watatu hawakuteua!
Nimetoa mfano wa majaji wa Nyerere kutokana na mifano niliyotoa. Sikumbuki majaji wa Mwinyi. Lakini Kikwete nakumbuka aliteua wengi.

Hoja yangu ni kwamba baadhi ya majaji wa enzi ya kikwete walituhumiwa kukosa weledi. Lakini hakuna tuhuma za kukandamiza wapinzani wa serikali. Hili limejitojeza zaidi kwa majaji wa Magufuli.

Ndiyo maana kuna contrast kubwa kati ya majaji wa Nyerere na Magufuli.
 
Nimetoa mfano wa majaji wa Nyerere kutokana na mifano niliyotoa. Sikumbuki majaji wa Mwinyi. Lakini Kikwete nakumbuka aliteua wengi. Hoja yangu ni kwamba baadhi ya majaji wa enzi ya kikwete walituhumiwa kukosa weledi. Lakini hakuna tuhuma za kukandamiza wapinzani wa serikali. Hili limejitojeza zaidi kwa majaji wa Magufuli.

Ndiyo maana kuna contrast kubwa kati ya majaji wa Nyerere na Magufuli.
Majaji wanakandamizaje wapinzani wa serikali, toa mfano wa mpinzani aliyekandamizwa na jaji.
 
Kwa nafasi yake ya urais, Magufuli ataongelewa sana tu, awe hai au marhum. Mbona Nyerere anaongelewa sana tu? Mnataka kumficha Magu tusiongelee madudu yake kisa marhum? Hiyo haipo.
Tutamtetea. Msizishe Kila baya kwake.na mkome.
 
Inatupasa tuige mfano wa Kenya ambapo mtu anayeteuliwa kuwa Jaji anaomba kupitia Judicial Service Commission (JSC) na anasailiwa na nayefaulu majina yanapelekwa kwa Mhe. Rais kwa uteuzi.

Katika usaili wanapitia mambo mengi mfano uwezo kielimu, uzoefu katika kazi nk. Tuige mfano huu. Haki ni kitu kinachohitaji weledi, uaminifu wa hali ya juu na kutopendelea upande wowote. Tuepuke kutoa nafasi hizi kama zawadi.
 
Teuzi zao zitazamwe upya wengi hawana sifa zaidi ya kuwanyima Dhamana wapinzani Ili kumfurahisha magu na sio kwa weledi wao.
 
Inatupasa tuige mfano wa Kenya ambapo mtu anayeteuliwa kuwa Jaji anaomba kupitia Judicial Service Commission (JSC) na anasailiwa na nayefaulu majina yanapelekwa kwa Mhe. Rais kwa uteuzi. Katika usaili wanapitia mambo mengi mfano uwezo kielimu, uzoefu katika kazi nk. Tuige mfano huu. Haki ni kitu kinachohitaji weledi, uaminifu wa hali ya juu na kutopendelea upande wowote. Tuepuke kutoa nafasi hizi kama zawadi.
Huku ni uwezo wako binafsi wa kusujudia watawala.na sio professionalism.
 
Tumewahi kusikia malalamiko kuhusu kada ya majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Malalamiko hayo, kwamba kuna majaji hawana viwango vya kiweledi vinavyotakiwa, yalitolewa bungeni, na mh. Tundu Lissu enzi hizo...
Kama sijakosea kuna Jaji wa Mahakama Kuu alipandishwa cheo na Magufuli kwa sababu eti aliandika hukumu kwa KISWAHILI!!!
 
Kwanini walioteuliwa na Magufuli hsiwafananishe na wa Kikwete, Mkapa na Mwinyi!

Why Magufuli vs Nyerere?

Kwamba walioteuliwa na hao watatu wanatenda haki? au hao watatu hawakuteua!
Msoga group linapambana kutia kiwi nyeusi kwenye legacy ya Mwendazake.
walishachelewa wananchi walimwelewa na UN ilimuelewa ikamuenzi.
Mtu kashiba magimbi ataweza?
 
Tumewahi kusikia malalamiko kuhusu kada ya majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Malalamiko hayo, kwamba kuna majaji hawana viwango vya kiweledi vinavyotakiwa, yalitolewa bungeni, na mh. Tundu Lissu enzi hizo...
Marehemu Magufuli, alipoingia tu madarakani alisema haridhishwi na serikali kila mara kushindwa kesi. Alichofanya ni kuwachukua maafisa wa TISS waliosomea sheria na kuwafanya majaji ili yeye aweze kuamuru kesi.

Aliwateua majaji wa kawaida toka TISS, akamteua msajili wa mahakama agisa wa TISS ili ahakikishe kesi ambazo yeye anataka kuamua wanapangwa TISS kuzisikiliza.

Kwa sasa hakuna mahakama tena. Wote waluoteuliwa na marehemu, hakuna jaji, ni maafisa wa TISS.
 
Tumewahi kusikia malalamiko kuhusu kada ya majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Malalamiko hayo, kwamba kuna majaji hawana viwango vya kiweledi vinavyotakiwa, yalitolewa bungeni, na mh. Tundu Lissu enzi hizo...

Huyo ndiye anayefanya vitu vyake kwenye kesi ya Mbowe na wenzake kwa sasa:

IMG_20211026_090802_411.jpg


Ongezea na kusaka promotions kwenye kesi za mwamba.
 
😍😍😍😍😍😍kuna watu wasiotaka kuumiza vichwa kufikiri. Hivyo, hutafuta njia za mkato na rahisi kwa kutoa hitimisho jumuishi wasijue madhara yake. Angejua sheria, asingesema haya yote anayosema.
Kasema nini...?

Na wewe unasema nini kama kujibu alichosema mwenzako?

Au jibu la hoja ya mwenzako (mleta mada kuu) ndicho hiki ulichoandika?

Hili wala halina uhusiano na sheria. Magufuli alitaka na aliutikisa sana mfumo wa utoaji haki Tanzania (Tanzania's justice system) na kuingiza siasa mahakamani...

Mathalani, kama wewe kweli ni mjuvi wa sheria, uamuzi wa kesi ndogo ya shauri la ugaidi wa Freeman Mbowe na wenzake wiki moja iliyopita wa Jaji Kiongozi Siyani Mutapha, ulijengwa ktk misingi ya sheria gani kama si "kudhani" na "kuhisi" tu kama alivyokuwa anasema mwenyewe siku hiyo akisoma hukumu yake?

Wewe unadhani ni kwanini Jaji mzima anashindwa kuzingatia sheria ktk kuamua kwake shauri fulani specific kwa hili la Ugaidi wa Mbowe?

JIBU NI RAHISI TU: No professionalism bali ni rushwa ya Ki - Magufuli ya cheo ya NIPE, NIKUPE.

Kama huoni ukweli huu na ukaendelea kubisha just for the sake ya kubisha tu, basi utakuwa na ugonjwa ya "kukosa ufahamu" wa kupambanua mambo.
 
Soma vizuri uzi. Magufuli ameteua majaji, wengi kawakuta. Nazungumzia wale aliowateua. Majaji wapumbavu wapo tu, hata enzi za Nyerere walikuwepo. Lakini Hawa wa Magufuli wametia fora
Njaa na kulipa fadhila...kwa sasa hawajui nafasi zao kabisa
 
Tumewahi kusikia malalamiko kuhusu kada ya majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Malalamiko hayo, kwamba kuna majaji hawana viwango vya kiweledi vinavyotakiwa, yalitolewa bungeni, na mh. Tundu Lissu enzi hizo...
Kwa ushahidi huu uliouweka hapa ni wazi kwamba nchi ya Tanzania sasa inadhalilika
 
Tumewahi kusikia malalamiko kuhusu kada ya majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Malalamiko hayo, kwamba kuna majaji hawana viwango vya kiweledi vinavyotakiwa, yalitolewa bungeni, na mh. Tundu Lissu enzi hizo...
Mmmekosa kazi umbea sinanyie mkawe majaji.. Mnaupiga mwingi hata shule hamkwenda kisa wateule... Tanzania kunawatu wa ajabu kweli
 
Back
Top Bottom