Athari za mpango wa kando?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Mpango wa kando nchini Kenya wanauita....................uhawara...

faida zake ni zile zile za ugoni na hasara zake zinafuata mkondo huo huo.........................

faida.................ukajisikia umependwa...........au kupendeka..................

hasara......................kubebeshwa majukumu ambayo pengine usingelipenda kuyabeba ila walazimika kumridhisha hawara yako..............................

nyinginezo.........tusaidiane hapo.......................
 
Mi ni odinare wanataka mpango wa kando eti ni wadare
 
Kitu kisichokubalika mbele ya Mungu na wanadamu walio wengi na kinachofanywa kwa siri kina madhara sana kisaikolojia.......
unaishi kwa hofu mbele ya wanadamu na hata Mungu,unaishi ukijua wewe unamyima mtu kuwa na furaha na mumewe na pengine na watoto wake,hujiamini unahisi tu unaonekana mbaya na wanawake wengi though waweza onekana strong they are guilty........

madhara ya muda mrefu yaweza kuwa magonjwa kama ya presha na moyo,manake hiyo hofu ni ngumu ku-contain........:coffee:

ukimwi pia,unajua mwanamke aliyekubali kuwa hawara anajua fika wewe una mke, wengi si watulivu 100%,anajua fika ipo siku unaweza kula kona ukarudi kutulia kwa mkeo so wewe unakuwa kwenye list na wengine,mwisho wa siku......yanaweza kukuta hayo.......:coffee:

nitarudi,si kitu kizuri,kama chaweza epukwa,ni vizuri zaidi.
 
Mpango wa kando si mpango.
Ikifika ile siku ya 39 kuelekea 40. Ni balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…