Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Mpango wa kando nchini Kenya wanauita....................uhawara...
faida zake ni zile zile za ugoni na hasara zake zinafuata mkondo huo huo.........................
faida.................ukajisikia umependwa...........au kupendeka..................
hasara......................kubebeshwa majukumu ambayo pengine usingelipenda kuyabeba ila walazimika kumridhisha hawara yako..............................
nyinginezo.........tusaidiane hapo.......................
faida zake ni zile zile za ugoni na hasara zake zinafuata mkondo huo huo.........................
faida.................ukajisikia umependwa...........au kupendeka..................
hasara......................kubebeshwa majukumu ambayo pengine usingelipenda kuyabeba ila walazimika kumridhisha hawara yako..............................
nyinginezo.........tusaidiane hapo.......................